Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha porojo , usije ukamfananisha Lisu Na Lowasa hata siku mojaAlikata kadi ya CCM akiwa sekondari na anayo hadi leo!.... Hata ya Ncvr bado anayo!
Kwa hili mbowe ajitafakariAisee tuliokuwa na Msimamo na kutaka mabadililo ya kweli tulipinga Lowassa kuja CHADEMA since day one. Sasa Mbowe achia chama kwa damu ya Mageuzi halisi iongoze Chama
Hahahaa....... Leo ndio mnakumbuka Richmond!!!Kagoda, Richmond nyingine inanukia ooh nimesahau kampuni ya korosho toka kenya
Sio "Sioni" ni "Sioi"Heshima kwenu wana jamvi,
Leo imekuwa siku muhimu katika siasa za Tanzania na pengine nchi ikaingia katika historia mpya katika medani za siasa za ushindani.
Mheshimiwa Lowassa waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa UKAWA mwaka 2015 kajiengua CDM na kurejea CCM.Ukweli mchungu siasa za upinzani katika nchi za dunia ya Tatu hasa Afrika zinahitaji ngozi ngumu kweli kweli.Ikiwa umezoea raha upinzania si mahali pake,kaa mbali kabisa kwasababu zinaweza kukuletea umaskini ikiwa wewe ni mfanya biashara na zinaweza kukulaza ndani ikiwa wewe ni mwanasiasa.
Sote tunajua Rostam Aziz mdogo wake alifunguliwa kesi mbaya sana na tulitarajia angeweza kuhukumiwa kifungo cha muda mrefu.Baada ya Rostam kwenda Ikulu mdogo wake alihukumiwa kupigwa faini na sasa yuko nje akiendelea na biashara zake.
Leo Lowassa karejea ndani ya chama natarajia atarejeshewa tena heshima zake ikiwemo ya kijana wake kuachiwa mara moja na kesi kufutwa.Sitashangaa iwapo Sioni Sumari akiachiwa huru na mambo yakaendelea kama kawaida.
Naomba nisiendelee sana kwa leo naomba kuishia hapa muda ni mwalimu mzuri sana.
Ni kitu cha kawaida mbona Kenya exits za vyama ni kama mchezaji kuhamia timu nyingineWaziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa Amerejea Rasmi CCM Leo.
Amepokelewa Lumumba Makao Makuu Madogo Ya Chama Cha Mapinduzi Na Katibu Mkuu Dr Bashiru Ally.
Aidha, katika mapokezi hayo walikuwepo Rais Magufuli, Rostam Aziz, Mzee Phillip Mangula, Waziri Mkuu Majaliwa Kassim, Humphrey Polepole n.k
Habari zaidi...
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amerejea Chama cha Mapinduzi (CCM) Ijumaa, nchini Tanzania. Lowassa alikuwa mgombea wa kinyang’anyiro cha urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na vyama vinavyounda umoja wa UKAWA katika Uchaguzi mkuu 2015.
Kurejea kwa Lowassa kulikuwa kukitabiriwa na baadhi ya watu, lakini mara kadhaa Lowassa alikanusha kuwa anampango wa kurudi katika chama hicho.
Vyanzo vya habari vinasema hatua hiyo imewashitua watu wengi, kwa sababu ya kile ambacho kilisababisha yeye kuhama chama hicho.
Lowassa baada ya kuitumikia CCM kwa kipindi kirefu alikihama chama cha hicho kufuatia mvutano uliotokea baada ya kutoidhinishwa na chama hicho kuwa mgombea wa urais.
Sherehe za mapokezi yake wakati akirejea rasmi Ijumaa zilifanyika katika ofisi ndogo ya CCM iliyoko Lumumba Dar es Salaam na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama hicho John Magufuli.
Lowassa mara kadhaa amefanya mazungumzo na Rais John Magufuli, Ikulu ya Tanzania.
Kumekuwa na wimbi la wanachama wa upinzani kuingia CCM tangu Magufuli achaguliwe 2015, kitu ambacho kimekuwa kikizungumziwa katika duru za siasa kwamba kinadhoofisha upinzani.
View attachment 1035375
View attachment 1035459
View attachment 1035448
Unaweza soma pia:
Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM - JamiiForums
Edward Lowassa: Wanaodhani nitarudi CCM wanapiga porojo na kuota ndoto - JamiiForums
Lowassa hana namna zaidi ya kuipigia magoti CCM, Mkwewe Sioi Sumari mpaka sasa yupo lockup - JamiiForums
Lissu namba nyingine mkuu.risasi 34 bado anatema madini huko abroad unadhani binadamu wa kawaida huyo? Watanzania wenye uchungu na hii nchi wapo wengi tu ni platform tu hawajapata ya kuonesha uwezo wao dhidi ya mafisi wa ccmSiasa Mchezo mchafu kifuatacho ITV si ajabu Lisu naye akasajiliwa muda si mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa........ Kwahiyo Lowassa amenunuliwa!Anarejea kwani amewahi kuwa mwanà CCM ?!.
Hata hivyo Yohana mbatizaji , kutumia rasilimali za serikali kuwanunua wapinzani badala ya kuliletea taifa maendeleo ni ujima . Tz ina safari ndefu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
BUTTER TRADE AT IT'S BEST.Heshima kwenu wana jamvi,
Leo imekuwa siku muhimu katika siasa za Tanzania na pengine nchi ikaingia katika historia mpya katika medani za siasa za ushindani.
Mheshimiwa Lowassa waziri mkuu mstaafu na mgombea urais wa UKAWA mwaka 2015 kajiengua CDM na kurejea CCM.Ukweli mchungu siasa za upinzani katika nchi za dunia ya Tatu hasa Afrika zinahitaji ngozi ngumu kweli kweli.Ikiwa umezoea raha upinzania si mahali pake,kaa mbali kabisa kwasababu zinaweza kukuletea umaskini ikiwa wewe ni mfanya biashara na zinaweza kukulaza ndani ikiwa wewe ni mwanasiasa.
Sote tunajua Rostam Aziz mdogo wake alifunguliwa kesi mbaya sana na tulitarajia angeweza kuhukumiwa kifungo cha muda mrefu.Baada ya Rostam kwenda Ikulu mdogo wake alihukumiwa kupigwa faini na sasa yuko nje akiendelea na biashara zake.
Leo Lowassa karejea ndani ya chama natarajia atarejeshewa tena heshima zake ikiwemo ya kijana wake kuachiwa mara moja na kesi kufutwa.Sitashangaa iwapo Sioni Sumari akiachiwa huru na mambo yakaendelea kama kawaida.
Naomba nisiendelee sana kwa leo naomba kuishia hapa muda ni mwalimu mzuri sana.
Very well comrade lowassa. Niliwaonya chadema. Wakati wa uchaguzi.. lakin hawakusikia.Yote yatasemwa, but the bottomline ni kuwa the mission by Lowasa for CDM was a success. CDM isingelipata wabunge wengi kama ilio nao, madiwani etc!
Ubaya wao?Mbowe, lissu, msigwa, lema, sugu, mdee ni watu wabaya sana.
Kwenye siasa picha utaipata tuu