Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

Msiba wa Ruge?

Hapana. Hakuna sababu ya msingi kwa Lowassa "ku-divert attention ya Watanzania kutoka kwenye msiba wa kitaifa wa Ruge."

Hata hisia kuwa "kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha Ruge" hazijapata umaarufu kiasi cha kupelekea Lowassa akurupushwe leo ili "azime" suala hilo.

Kuwatenga waliomtosa Lowassa?

Uwepo wa Rostam Aziz katika tukio unaweza kuwa ishara ya uhusika wake katika uamuzi wa Lowassa kurejea CCM. Na uhusika wake unaweza kumaanisha kuwa "mapacha wawili kati ya watatu" wa MTANDAO wa JK (JK mwenyewe, Lowassa na Rostam) sasa wapo kwa Jiwe.

And where does that leave JK? Well, he was the major force behind kutoswa Lowassa. With him were Mkapa na Mwinyi. Sio siri kuwa wote watatu have fallen out of favour with Jiwe.

Nadhani katika hili labda tuache muda uongee.

October surprise?

Katika siasa za uchaguzi huko Marekani, "October surprise" ni tukio la makusudi linalolenga ku-influence matokeo ya uchaguzi.

Ninaazima political jargon hiyo kumaanisha kuwa huenda tukio hilo la leo linalenga ku-preempt tukio jingine kubwa ambalo "mtu flani" anatarajia linaweza "kupozwa" na ujio wa Lowassa huko CCM pindi tukio hilo likitokea.

Ugumu wa kuongelea tukio hili kama ule uliojitokeza katika kujadili uwezekano wa Lowassa kurejea CCM. Kila baadhi yetu tulipofungua mdomo sio tu kubashiri kuwa Lowassa angerudi CCM bali pia kumtuhumu kuwa huenda anakihujumu chama hicho, tuliishia kutukanwa



Kwahiyo to be on the safer side, si vema kuongelea kitu ambacho huenda kikatafsiriwa kuwa ill wish if not sedition. But something is indeed cooking.

Nafsi inakataa sio kuamini kuwa kweli Lowassa karudi CCM (lilikuwa suala la when na sio if) bali kuamini kuwa kurudi kwake CCM LEO ni kwa vile "leo ni siku kama nyingine."

Time will tell.




Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwasemee watu yaliyo mioyoni mwao, ni uchuro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliisubiri hii Siku kwa hamu kuwaona kina maalim seifu na mbowe wakiumbuka. Lipumba roho ilimsuta aliona mbali. Hence proved prof ni prof tu
MNAPOMZUNGUMZIA LIPUMBA SIKU ZOTE HUWA NAJIULIZA IVI ALIWAKOSEA NINI WANYAMWEZI NA WASUKUMA WA TABORA SIJUI KWANINI HAKUBALIKI KWAO TABORA TOFAUTI NA WENZAKE AKINA SEIF NA MBOWE WAKIWA KWAO

TAFADHALI WANYAMWEZI WA TABORA HEBU NJOONI MTUAMBIE KWANINI LIPUMBA ALICHOWAKOSEA WANA MBOKA MANYEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ni unywanywa mtupu, ndio maana sipend hata kuisikia, 99% ya wanasiasa wote ni wachumia tumbo na wanafiki, si ccm, si chadema na wengineo.

Sent using my nokia ya tochi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji41]
Hata taswira yake wakati anakaribishwa lumumba inaonyesha ni mtu mwenye huzuni na wala hana bashasha yoyote anaonekana yupo katika shinikizo ambalo yeye binafsi hana uwezo wa kulikwepa.

Maendeleo hayana chama
 
th
Walipokutana Mwembe Yanga tarehe 15 Septemba, 2007 wakiwa na orodha ya mafisadi papa nchini akiwamo waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa, wapinzani walisahau kitu kimoja au viwili. Kwanza, walikuwa wanaandaa kifo cha Lowassa kisiasa ndani ya CCM na Tanzania. Pili, walikuwa wamemtendea kosa ambalo asingeweza kulisahau maishani mwake bila kulipiza kisasi. Kwa wataalamu wa mambo, tulijua fika kuwa Lowassa alipojiunga na upinzani alisukumwa na sababu kuu tatu yaani:
Mosi, hasira baada ya kuenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais.
Pili, imani kuwa angeweza lau kushinda kupitia upinzani hata kushindwa bila kupoteza lolote zaidi ya upinzani.
Tatu, alitaka kulipiza kisasa kwa namna upinzani ulivyombomoa na kumtangaza kuliko mafisadi wengine uliotaja.
Tatu, alitaka kuukomesha upinzani na kujijengea nafasi maalumu kwa CCM ambayo, nayo bila shaka, ilijua kuwa alichokuwa akifanya kada wake huu kingeisaidia kwenye uchaguzi husika. Sababu ziko nyingi. Ila hizi tatu ndizo zingemfanya mchambuzi yeyote mahiri kutabiri kurejea tena kwa Lowassa CCM siku moja kama ambayo amefanya leo. Kimsingi, kama kuna aliyeuua upinzani si mwingine bali aliyeushauri kumpokea Lowassa.
Sasa Lowassa ametimiza malengo yake yote. Kuna haja gani ya kubakia upinzani? Kujua tulivyoliona hili tangu siku ya kwanza, SOMA LINK HIIhttps://mpayukaji.blogspot.com/2015/11/when-bongo-politics-became-nastily.html
Kwa hiyo Lowasa kampoteza kingunge hata kuzimu?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nassary na Mnyika hawakukubaliana na Lowasa kuingia Chadema ila walimvumilia kwa maslahi ya chama.

Baada ya mzee kuondoka Nassary ameamua rasmi kurejea kwenye siasa na hasa JIMBONI huku Mnyika akipata furaha upya kuendelea kupigania mabadiliko ya kweli.

Awali Nassary alipanga kupumzika siasa au kwenda CCM kumkwepa Lowasa lakini naamini kwa hiki kilichotokea atakuwa amefarijika na anaweza kuacha mpango wake huo wa kumwendea adui yake.

Nadhan Sasa cheche za siasa kutoka kwa vijana zitarejea upya kama cyo Chadema Basi ACT au CUF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom