Tetesi: Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM

Tetesi: Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM

Poise,
Siwezi kushangaa kama huyu Nape alivyomsema EL ila alipovuliwa uwaziri akili ilimrudi akasema atamuomba msamaha huyo Mhe. EL kwa hiyo kuhamia kwake huko ccm inawezekana kabisa.

Siasa za Africa na bongoland ni; tumbo oriented nothing else.
 
Kwani lowasa amewakosea nini hadi mmuhofie kuludi ccm.

Mimi natamani aludi ili wamuondoe yule mungu mtu.
 
Hahahah huyu ni Morani......ni heri afe kuliko kulamba matapishi. (Acheni kumlisha maneno).
 
Naomba ufafanuzi wa jinsia yako kama wewe ni me au ke
 
Mm napenda aendelee kubaki huko chadema ili aendelee kuwachchafya zaidi hawa chadema waliomuita fisadi kwa muda wa miaka 8
 
Mkuu umepotea sana humu. Mimi nilidhani ungepata japo nafasi moja ya uteuzi kutokana na jitihada zako za kukipigania chama humu JF. Vipi mbona jamaa wanakupotezea? Ina maana hawakuoni nini?!
 
Akiondoka chadema, itakuwa nafuu kubwa ila aondoke na Mbowe na Lissu na Lema na Sugu na Msigwa na prof J. Bila kumuacha nyuma Salum mwalim.

Kisha Dr Slaa arejee chadema turudi tuanze upya
 
Wadau, amani iwe kwenu,

Ni dhahiri kwamba Lowassa na Sumaye hawana amani ndani ya CHADEMA. Hawana dira wala mwelekeo. Kila wanalopanga halipangiki na CHADEMA hakionekani kuwa chama chenye mwelekeo wa kushika dola.

Kamera ya Lizaboni imenasa kikao cha mkakati wa Lowassa kutaka kujiengua na CHADEMA na kurejea CCM. Kwa sasa anaendelea na mazungumzo makali na baadhi ya wafuasi wake waliobaki CCM ambao wamemgomea kwenda upinzani. Kilichomshtua zaidi Lowassa ni hili wimbi la sasa lililoshika kasi la viongozi na wafuasi wa chama ambao aliona kuwa ni kimbilio lake wakimkimbia na kujiunga na CCM.

Je, viongozi wangu watampokea Lowassa? Mimi nasema wasiwe wepesi kukubali ujio wa Lowassa. Ni vema tukafunga gate valve ili asiruhusiwe kurejea tena chamani. Ameshaivuruga CHADEMA na sasa anataka kurejea tena CCM na kutuvuruga. Nasikia anataka kurejea kabla ya uchaguzi wa ndani wa CCM ngazi ya Taifa. Tusiruhusu jinamizi likatukumba tena ndani ya CCM.
Pole, ukitaka kuijua siasa tazama Zimbabwe.
 
Back
Top Bottom