Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
-
- #381
Ulikua kwenye wale walinzi wa bavicha 2015 wenye mawani makubwa myeusi? Poleni sana.Dah! Rest ease comrade! Najiskia vibaya sana. Nilikuwa mlinzi wako....... Kazi niliyoifanya kwa moyo wote bila kuteteleka!
Hukuwa na baya! Tutaonana Mungu akipenda!
"Mimi na mh Kikwete hatukukutana barabarani"'--- yalikuwa matamshi ya marehemu Ngoyayi.Nashauri: jwenye msiba JK asipewe Mic kutoa za pole. Lazima ataharibu, huwa anajikoroga ssna kwenye misiba akisindikizwa na tabasamu la kufurahia aliekufa
AiseeAlisababisha tukaitupa DHAHABU yetu kwa ajili yake, lakini akaitusaliti katikati ya vita!
Any way, R.I.P!
Hakika,apumzike kwa amaniApumzike kwa Amani
KizimkaziMwaka 2015 haukuwa rafiki kwa wagombe nafasi ya urais , hakuna yoyote angemaliza term yake ya 10 years ikiwa wangeshinda
1. JPM
2. BERNARD MEMBE
3.MAALIM SEIF
4.EDWARD LOWASSA
5. nani anafuata?
CHAIKuna mtabiri mmoja aliwahi kusema ilikua Ni lazima hayo yatimie ili rais wa kike aingie then aje rais mwengine ataetoka upande wa pili wa siasa.
R.i.p yule mtabiri.
Alikua mbuzi wa kafaraHuyo waziri mkuu hakustaafu, Bali alijiuzulu kwa kashfa, Sasa bendera inapepea nusu mlingoti kwa kipi? Au ni kisiasa zaidi?
Duh, kweli humpendi.Samia Suluhu Hassan.
Yes, hawakukutana barabarani."Mimi na mh Kikwete hatukukutana barabarani"'--- yalikuwa matamshi ya marehemu Ngoyayi.
Imenishangaza kumbe ni kwa ajili ya kumwomboleza mwanamwema huyoAmefariki mtu mwema. Huku Arusha mvua imenyesha ghafla tu kubwa hata haijulikani imetokea wapi. R. I. P Mzee wetu [emoji24]
Mmeo.Eeh sana sijui salam za chadema msibani nani atasoma.
Kabisa, kufa usifiweR.i.P Classmate....😪
Hapa ndipo tutauona unafiq grade one wa wanasisasa kwenye msiba wako..😥
Chief KadondokaAmefariki mtu mwema. Huku Arusha mvua imenyesha ghafla tu kubwa hata haijulikani imetokea wapi. R. I. P Mzee wetu [emoji24]