TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

RIP Ngoyayi Lowasa.

NB: Katika watu ambao kwa msiba huu atafuatilia sana udaku, video na maneno mitandaoni kuhusu msiba huu kabla ya kuamua namna ya ushiriki wake, basi namba moja ni Mkwere wa pande za Msoga!!!@#$^^*&%%$#=995&^$×@#£^.
 

Nafsi wakati wa kifo

Kwa mujibu wa Hadith, mtu anapokufa, roho hutoka chini ya mwili kwenda juu kabla ya kuuacha mwili na macho yanakunja kama roho inaacha mwili. Kwa mujibu wa Hadith iliyopokewa na Umm Salama, amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) aliingia kwa Abu Salamah (baada ya kufa) na macho yake yakafumbuka, akayafumba kisha akasema: 'Nafsi inapochukuliwa, macho huifuata.'” (Imeripotiwa na Swahiyh Muslim, 1528).

Nafsi baada ya kifo

Baada ya mtu kufa, roho hupelekwa mbinguni na malaika wawili na hatima yake inategemea hali yake ya uadilifu. Kwa mujibu wa Hadith ya Abu Hurayrah ambaye amesema: “Inapotwaliwa roho ya Muumini hukutana na Malaika wawili wanaoichukua…” (Msimulizi akasema: kisha akataja harufu yake nzuri na harufu ya miski). Watu wa mbinguni husema, 'Roho njema iliyotoka ardhini, Mwenyezi Mungu akubariki na mwili uliokuwa ukiishi humo. Kisha wanaipeleka kwa Mola wake Mlezi, ametakasika na kutukuzwa, kisha Anasema: Zungukai nayo mpaka mwisho wa dunia. Nafsi ya kafiri inapotoka… (msimulizi alitaja harufu yake iliyooza na laana). Watu wa mbinguni husema: Ni roho mbaya iliyotoka ardhini, kisha ikasemwa, 'Zunguka nayo mpaka mwisho wa dunia.' Abu Hurayrah akasema: kisha Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akaweka kipande cha kitambaa juu ya pua yake, hivi. (Imeripotiwa na Muslim, 5119).
Hizi ni fiksi.
 
CHADEMA ilikuwa kazi maalumu kama ilivyokuwa kwa Slaa. Zingatia sana hili. Nchi haichukuliwi kwa vikaratasi ila ili kuwaridhisha mabwana zetu mabeberu basi koti la demokrasia lazima livaliwe, ndicho alichofanya mamvi kwa Taifa lake baada ya kuombwa.
 
Mwamba Apumzike Kwa Amani na Mwanga wa Milele Mwenyezi Mungu Amuangazie.
.
Huyu ni miongoni mwa WANASIASA, WAFUGAJI, WAKULIMA NA WAFANYABIASHARA wachache wa nchi hii niliyokuwa NAWAPENDA SANA.

PUMZIKA MWENDO UMEUMALIZA.
 
Ina maana kwa wale wagombea wa urais wa 2015 wenye ushawishi kwa namna yeyote tungefiwa na rais madarakani.
Nacheki kwenye orodha hapa;
1. Magufuli John
2. Membe Benard
3. Sitta Samwel
4. Mahiga Augustino
5. Ramadhani Augustino
6. Lowasa Edward

Watanzania Ilikuwa haiepukiki kupitia impossible moment ya kufiwa na rais madarakani ingawa wao kwa wao walikuwa wanatabiriana mabaya.
Pascal Mayalla
 
Back
Top Bottom