GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Pole kwa familia!
Pole kwa Watanzania!
Pole kwa Watanzania!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli !Atakumbukwa kwa shule za kata,na kujitoa kafara kuibeba ishu ya Richmond ili kunusuru aibu ya ccm
What?R.i.P Classmate....😪
Hapa ndipo tutauona unafiq grade one wa wanasisasa kwenye msiba wako..😥
Siku ukifanikiwa kuwa Rais wa Tanganyika naomba usinisahau katika ufalme wako.Sure!!?Ina maana awe JAL3!!?ungetumia code.mkuu!!!!
Tulia kwanza mkuu, ngoja nimalize msiba wa classmate 😪What?
Kila marehemu maarufu ni classmate wako? Wewe ni ni binadamu wa kawaida?
Asubiri sana kuiona tweet ya JK, alimuumiza sana huyu mwamba ila cha ajabu mwamba hakuwahi kuonyesha hadharani kuchukizwa na JK. Lala salama Lwaigwanani.
Hizi ni fiksi.Nafsi wakati wa kifo
Kwa mujibu wa Hadith, mtu anapokufa, roho hutoka chini ya mwili kwenda juu kabla ya kuuacha mwili na macho yanakunja kama roho inaacha mwili. Kwa mujibu wa Hadith iliyopokewa na Umm Salama, amesema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) aliingia kwa Abu Salamah (baada ya kufa) na macho yake yakafumbuka, akayafumba kisha akasema: 'Nafsi inapochukuliwa, macho huifuata.'” (Imeripotiwa na Swahiyh Muslim, 1528).
Nafsi baada ya kifo
Baada ya mtu kufa, roho hupelekwa mbinguni na malaika wawili na hatima yake inategemea hali yake ya uadilifu. Kwa mujibu wa Hadith ya Abu Hurayrah ambaye amesema: “Inapotwaliwa roho ya Muumini hukutana na Malaika wawili wanaoichukua…” (Msimulizi akasema: kisha akataja harufu yake nzuri na harufu ya miski). Watu wa mbinguni husema, 'Roho njema iliyotoka ardhini, Mwenyezi Mungu akubariki na mwili uliokuwa ukiishi humo. Kisha wanaipeleka kwa Mola wake Mlezi, ametakasika na kutukuzwa, kisha Anasema: Zungukai nayo mpaka mwisho wa dunia. Nafsi ya kafiri inapotoka… (msimulizi alitaja harufu yake iliyooza na laana). Watu wa mbinguni husema: Ni roho mbaya iliyotoka ardhini, kisha ikasemwa, 'Zunguka nayo mpaka mwisho wa dunia.' Abu Hurayrah akasema: kisha Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) akaweka kipande cha kitambaa juu ya pua yake, hivi. (Imeripotiwa na Muslim, 5119).
Aliumizwa kivipi?Asubiri sana kuiona tweet ya JK, alimuumiza sana huyu mwamba ila cha ajabu mwamba hakuwahi kuonyesha hadharani kuchukizwa na JK. Lala salama Lwaigwanani.
Sasa bendera nusu mlingoti ya Nini kwa mbuzi wa kafara?Alikua mbuzi wa kafara
Yeye ndiye msaliti,na kauli yake 'mkwere awamu moja inamtosha',akamsaliti na mzee malecela kwenye 10% ya mapajero 1990sAliamini sana katika urafiki 100%. Aliposalitiwa akapata afya mbaya hadi umauti.
Acha kututisha, alaah!Wote tu safari moja, maisha ya hapa duniani ni ya mpito, utu ni muhuimu zaidi kuliko vyeo na mali; wote tuliopo hapa jf kwa sasa, mwaka 2094 hatutakuwepo.
Pole kwa familia, ndugu pamoja na jamaa.
Nimecheka sana, katikati ya msibaWhat?
Kila marehemu maarufu ni classmate wako? Wewe ni ni binadamu wa kawaida?
Bila kusahau lile bumunda lenye tumbo kama simtankRIP Ngoyayi Lowasa.
NB: Katika watu ambao kwa msiba huu atafuatilia sana udaku, video na maneno mitandaoni kuhusu msiba huu kabla ya kuamua namna ya ushiriki wake, basi namba moja ni Mkwere wa pande za Msoga!!!@#$^^*&%%$#=995&^$×@#£^.