Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sitaki ugomviUnamaana gani hapo kwenye 'mawani'?
Hata wewe ukipewa nafasi utaiba tu, hilo nini uhakika nalo kwa 100% kwasababu ndio asili ya binadamu.Hzi huwa ni fix tuu wanasiasa ni wezi
Cardiovascular 🫀 diseaseJanabi wa KJ?
cardiovascular diseases huwa haichezi mbali sana na sisi wahenga 🫀Janabi wa KJ?
Kiongozi mwetevu tulowahi kujaaliwa LAKINI waovu wakamchafua...
Alale palipo pema Mzee Edward...
Ahahahhahaha Karibu sana tupo msibani Kwa Mzee wetu! Ukija tu mimi nitakujuza tu utaona nakusalimie nikiwa nimekunja ngumi![emoji1787][emoji1787][emoji1787] sitaki ugomvi
🤣🤣🤣🤣Ahahahhahaha Karibu sana tupo msibani Kwa Mzee wetu! Ukija tu mimi nitakujuza tu utaona nakusalimie nikiwa nimekunja ngumi!
Kula kiapo tu ......tosha kuzikwa kitaifa.....kiapo hakifutikiSasa bendera nusu mlingoti ya Nini kwa mbuzi wa kafara?
Mbona jana nimeona bado bendera zipo wima kwenye taasisi za serikali hadi jioniAidha, bendera zitapepea nusu mlingoti kuanzia leo Februari 10, 2024 kwa siku tano mfululizo.
Umemsahau Mama wa busara zake Anna MgwiraWagombea Urais wa 2015 wale top wote wamefariki.
Kumbe sio Magufuli tu, Urais angeshinda Lowassa au Membe bado tungerudi kati huku bendera nusu mlingoti
Ni principal walizoziwekea wanachama wa EAC kuwa ikitokea kiongozi amefariki au tukio la bendera kupepea nusu mlingoti inakuwa ni kwa wanachama woteWeka picha ya hiyo bendera nusu mlingoti