TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

Tuache upotoshaji. Lowassa na ututsi wapi na wapi? Halafu Kwa Sasa Rwanda hakuna ututsi na uhutu. Kila mmoja anajitambulisha Kama mnyarwaanda. Wewe Baki na mitafuruku yako.
Wewe nyumbu utakuwa mtusi kila ikiguswa rwanda upo kuitetea wakati jini linyonya damu za watu ni hatari kuliko hata hao ccm unaokesha kuwapinga
 
Rwanda inaomboleza kifo cha Lowassa,bendera zinarushwa nusu mlingoti( ndivyo alivyosema mleta habari). Bendera zinapepea nusu mlingoti mara baada ya habari kuwafikia.
Sababu ya Rwanda kuomboleza kifo cha Lowassa,yaelekea ni kwa sababu Mchungaji Christopher Mtikila alikuwa mara katika Kampeni ya Uchaguzi alikuwa anasikika akisema,"Msimchague Lowassa. Lowassa ndiye kinara wa kutaka kuleta Tutsi Empire hapa Africa Mashariki. Lowassa ndiye Chairman wa Tutsi Empire hapa Africa Mashariki"
Mtikila alikuwa anaongea sana haya mambo Star tv.
Habari ndio hio. Nimeianfika verbatim kama nilivyoipata.
Mhhhh!!!Mbona haiingia akilini?!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Pumzika kwa amani Mwamba,Mzee wa kupanga mipango ya akili kubwa.
FB_IMG_17076648613669814.jpg


Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Kama Mzee Lowassa kura zingetosha ile 2015 basi leo Babu Duni angekuwa anapokea kijiti kwa kuapishwa rasmi

Nawatakia Jumatatu Njema!
 
Wagombea Urais wote wawili Mwenyezi Mungu aliwakataa kwa sababu moja ama nyingine. Jiwe alikataliwa kwa mambo yake ya hovyo, utekaji, watu kuokotwa baharini, ukatili, kwa hiyo akaambiwa "wewe jiwe pita huku...."

Copyright...DullaMakabila
 
Marehemu hasemwi vibaya ila wanaomfahamu tangu enzi zile kwake monduli kuna fensi ya michongoma wanayajua majibu yake huyu mwamba alikua anaweza kukupa jibu moja usimsahau maisha yako yote , wafanyakazi wake wamekula sana wali mboga kabeji , utakula kabeji hadi ukome nyama haivuki mlango wa nje
 
Back
Top Bottom