Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Mzee Urudi nyumbani sasa..Tuache upotoshaji. Lowassa na ututsi wapi na wapi? Halafu Kwa Sasa Rwanda hakuna ututsi na uhutu. Kila mmoja anajitambulisha Kama mnyarwaanda. Wewe Baki na mitafuruku yako.
Wanaweza kuchukua yoyote wakabandika watanzania waache walivyo tuWeka picha ya hiyo bendera nusu mlingoti
Ingekuwa Lowassa amefariki wakati yupo upinzani, angepeperushiwa bendera nusu mlingoti?Wanaweza kuchukua yoyote wakabandika watanzania waache walivyo tu
Ndio uwaziri mkuu Mstaafu haufutiki ndio maana alikuwa akipewa mishahara na marupurupu yote na walinzi Kwa gharama ya serikali akiwa chama Cha upinzani Chadema ni Haki zake kama Mstaafu Waziri mkuuIngekuwa Lowassa amefariki wakati yupo upinzani, angepeperushiwa bendera nusu mlingoti?
Wewe nyumbu utakuwa mtusi kila ikiguswa rwanda upo kuitetea wakati jini linyonya damu za watu ni hatari kuliko hata hao ccm unaokesha kuwapingaTuache upotoshaji. Lowassa na ututsi wapi na wapi? Halafu Kwa Sasa Rwanda hakuna ututsi na uhutu. Kila mmoja anajitambulisha Kama mnyarwaanda. Wewe Baki na mitafuruku yako.
Sina imani yoyote.Mkuu, wewe ni imani gani?
Mhhhh!!!Mbona haiingia akilini?!.Rwanda inaomboleza kifo cha Lowassa,bendera zinarushwa nusu mlingoti( ndivyo alivyosema mleta habari). Bendera zinapepea nusu mlingoti mara baada ya habari kuwafikia.
Sababu ya Rwanda kuomboleza kifo cha Lowassa,yaelekea ni kwa sababu Mchungaji Christopher Mtikila alikuwa mara katika Kampeni ya Uchaguzi alikuwa anasikika akisema,"Msimchague Lowassa. Lowassa ndiye kinara wa kutaka kuleta Tutsi Empire hapa Africa Mashariki. Lowassa ndiye Chairman wa Tutsi Empire hapa Africa Mashariki"
Mtikila alikuwa anaongea sana haya mambo Star tv.
Habari ndio hio. Nimeianfika verbatim kama nilivyoipata.
MgasoWatia nia wengine ni yule Jaji Mstaafu kutokea Zanzibar Augustino Ramadhani na yule mtoto wa mzee Malechela
Camera man na wazazi wa Lowasa naamini waliishatangulia miaka mingi mbele ya haki,picha inaendelea kuishi.Pumzika kwa amani Mwamba,Mzee wa kupanga mipango ya akili kubwa.View attachment 2901000
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Yah..kuna vitu vinashangaza sana japo ni vidogo vidogooCamera man na wazazi wa Lowasa naamini waliishatangulia miaka mingi mbele ya haki,picha inaendelea kuishi.
Nyumbani ni Tanzania Mkuu.Mzee Urudi nyumbani sasa..
Hukuskia speech ya General ?
Kwanini kila ikiguswa Rwanda unakuwa mkali?Nyumbani ni Tanzania Mkuu.