Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Dah. Apumzike kwa amani Eddo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!Kuna watu mudaa wote mnaunganisha nyuzi kutegua code[emoji3]
Oya oyaaa ongezea nyama bwasheheMwaka huu Tunarudi kati tena blv me.
Halafu kuna Jitu jingine KUBWAA lipo nje ya Boksi, nalo litaenda nyavuni✅️, Hii itakua ni direct kick/suprise attack, Tutashangaa tu Ikiwa nyavuni tayari, acha na hii iliyotengwa asaivi inasubiri refa tuu.
JAL 1 tu assume alikuwa MwendazakeIs this JAL 2!?JAL 3 next!!?ngoja tuone!!
RIP comrade!
Sasa hapo kosa langu lipo wapi?Wewe unadhani umejificha sana eti? Acha kujidanganya na sio vizuri kuwa na chuki iliyopitiliza kama hii.
Kama haumkubali mtu usimuombee maafa/kifo zipo njia nyingi tu zakutumia kufikisha ujumbe wako kwamba hukubaliani na kiongozi fulani.
Hakuna lugha moja duniani na wewe tatizo mmekariri kiingereza, wengine sisi tunaandika kifaransa pia.Immortal
Cha ajab nini sasa, maana aliyepita tukishakaa nusu mlingoti bora huyu angechelewa chelewaKumbe 2015 angepita Leo hii tungekuwa nusu mlingoti
Kakake shetani vipi tena? How au Who!HOW NEXT ?
Hapana Uzi wa JAL 123,yaani mstaafu kustaafishwa ulitoka 2022 tayari jiwe alishatangulia!!JAL 1 tu assume alikuwa Mwendazake
JAL 2 tu assume alikuwa Madodo
JAL 3 tu assume ndio mzee wa rangi?
Umejuaje.?Mbinguni kuna makao mazuri sana
Huyu aliangushiwa jumba bovu tu, na kwa hekima alikubali fedhea na lawama ziwe juu yake ili kunusuru picha ya aliyekuwa na madaraka makubwa kwa faida ya kampeni zilizokuwa zinafuata .Ila alikua mwizi na fisadi sana wanasema.
Raha ya kuunganisha dots usizilazimishe ziungane, huwa zinajipanga zenyewe hapo ww unalazimishaTangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!
Alipoondoka maembe TU,Uzi ukatoka "usaliti wa jemedari wa marekani"
Content"mbona FDR Bado!!?na kitabu hakuna"!!?
Akajibiwa"taarifa zinatoka juu kuja chini,original plan in and out!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!!
Kama maembe ni JAL 1,that means counterpart in JAL 2 ambae labda ni huyu,then JAL 3 ni nani!!?je ni huyo alieshika strong hold!!?au awamu ya pili!!?au awamu ya nne!!?
Tunasubiri!!
Hahahahaha..huwa napenda unavyopenda kuzifuatilia hizi codesTangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!
Alipoondoka maembe TU,Uzi ukatoka "usaliti wa jemedari wa marekani"
Content"mbona FDR Bado!!?na kitabu hakuna"!!?
Akajibiwa"taarifa zinatoka juu kuja chini,original plan in and out!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!!
Kama maembe ni JAL 1,that means counterpart in JAL 2 ambae labda ni huyu,then JAL 3 ni nani!!?je ni huyo alieshika strong hold!!?au awamu ya pili!!?au awamu ya nne!!?
Tunasubiri!!
Ndiyo, lakini tumkumbuke kwa mema aliyolitendea Taifa letu.Ila alikua mwizi na fisadi sana wanasema.
Tunawaza TU,zile ni codes hawezi mtu kuja kukuambia kwamba hiki ni hiki au kile!Raha ya kuunganisha dots usizilazimishe ziungane, huwa zinajipanga zenyewe hapo ww unalazimisha