TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

TANZIA Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu na Mgombea Urais wa CHADEMA 2015) afariki dunia

Kuna watu mudaa wote mnaunganisha nyuzi kutegua code[emoji3]
Tangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!

Alipoondoka maembe TU,Uzi ukatoka "usaliti wa jemedari wa marekani"

Content"mbona FDR Bado!!?na kitabu hakuna"!!?

Akajibiwa"taarifa zinatoka juu kuja chini,original plan in and out!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!!

Kama maembe ni JAL 1,that means counterpart in JAL 2 ambae labda ni huyu,then JAL 3 ni nani!!?je ni huyo alieshika strong hold!!?au awamu ya pili!!?au awamu ya nne!!?

Tunasubiri!!
 
إنا لله وإنا إليه راجعون
KILA NAFSI ITAONJA MAUTI HAKUNA ATAKAEBAKIA ISIPOKUWA ALLAAH سبحانه وتعالى

Screenshot_20240210-163226_Facebook.jpg
 
Wewe unadhani umejificha sana eti? Acha kujidanganya na sio vizuri kuwa na chuki iliyopitiliza kama hii.

Kama haumkubali mtu usimuombee maafa/kifo zipo njia nyingi tu zakutumia kufikisha ujumbe wako kwamba hukubaliani na kiongozi fulani.
Sasa hapo kosa langu lipo wapi?
 
JAL 1 tu assume alikuwa Mwendazake

JAL 2 tu assume alikuwa Madodo

JAL 3 tu assume ndio mzee wa rangi?
Hapana Uzi wa JAL 123,yaani mstaafu kustaafishwa ulitoka 2022 tayari jiwe alishatangulia!!

Kwenye Uzi wa "usaliti was jemedari was america, alisema JAL 1 is done 2$3 are next it means huyo 1 hawezi kuwa mwendazake coz Uzi ulitoka baadae sana baada ya mwendazake kwenda!!

Tuendelee kusubiri!!
 
Tangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!

Alipoondoka maembe TU,Uzi ukatoka "usaliti wa jemedari wa marekani"

Content"mbona FDR Bado!!?na kitabu hakuna"!!?

Akajibiwa"taarifa zinatoka juu kuja chini,original plan in and out!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!!

Kama maembe ni JAL 1,that means counterpart in JAL 2 ambae labda ni huyu,then JAL 3 ni nani!!?je ni huyo alieshika strong hold!!?au awamu ya pili!!?au awamu ya nne!!?

Tunasubiri!!
Raha ya kuunganisha dots usizilazimishe ziungane, huwa zinajipanga zenyewe hapo ww unalazimisha
 
Tangu Tumia akili anipasue kichwa Hadi leo sijatulia!!

Alipoondoka maembe TU,Uzi ukatoka "usaliti wa jemedari wa marekani"

Content"mbona FDR Bado!!?na kitabu hakuna"!!?

Akajibiwa"taarifa zinatoka juu kuja chini,original plan in and out!!JAL 1 is done 2 and 3 are next!!

Kama maembe ni JAL 1,that means counterpart in JAL 2 ambae labda ni huyu,then JAL 3 ni nani!!?je ni huyo alieshika strong hold!!?au awamu ya pili!!?au awamu ya nne!!?

Tunasubiri!!
Hahahahaha..huwa napenda unavyopenda kuzifuatilia hizi codes
 
Back
Top Bottom