Edward Snowden: Jasusi wa Kimarekani alivyopania kumdhalilisha Obama

Biashara ilishaisha pale ni storyza kufikirika!marekani sio wajinga kiivo mtaalam kama Huyo Mr snowden aachiwe azururule kama kuku wakienyeji!hapo sio sema kwa ufupi CIA very technical watadukuliwa hao Russia wakome!!that's a fact
 
Nimesoma Uzi wako wote pamoja na kuanza vzr kote lkn umekuja kujichanganya ktk swala LA Osama kufanya kua ndio kusudio lako kuu kwa swala lilotokea LA Snowden.

Kwa kifupi ni kwamba Snowden ni MTU mdogo sn kwa US na pia huyo ni double standard agent.

Kuhusu kuwawa kwa Osama ni kweli alikufa Na Ata wake zake walithibitisha hilo.

Unatoa hoja dhaifu sn eti kwanini Saddam picha zake mpk alipozikwa zilizagaa! ..

Eti kwanini Gadaffi

Eti kwanini vyombo vya usalama vya US vilikua havishirikiani Na Pakistan. Zote hizi ni hoja dhaifu sn tena sn....

Ukiwa Na time niambie tuyajadili haya.
 
Mkuu hebu toa hoja dhabiti za kuonyesha kuwa osama alikufa
 
Mi nahis Jamaa atakua ameshiriki kwenye kuchakachua uchaguzu wa marekan ili kuangusha chama cha OBAMA
[HASHTAG]#NawazaTu[/HASHTAG]
 
Kwa taarifa yako hao huwa wana slogan yao 'Trust No One'
Snowden kuwa Russia haimaanish kuwa wamemwamini kwa 100% never.Atakaa pale na hawatampeleka hata sebuleni kwao nini chumbani.
 
Biashara ilishaisha pale ni storyza kufikirika!marekani sio wajinga kiivo mtaalam kama Huyo Mr snowden aachiwe azururule kama kuku wakienyeji!hapo sio sema kwa ufupi CIA very technical watadukuliwa hao Russia wakome!!that's a fact
Mkuu likikima je tuseme ni kwamba NSA/CIA ni wapumba.vu hadi kumruhusu Snowden akatoe siri zao nzito ili tu waweze kuwaSpy Urusi, taarifa alizovujisha Snowden zinagusa nchi kubwa kama Israel, Uingereza, Ujerumani, Brazil, Canada, China, Urusi, Sweden, Uswiss, Uholanzi na nchi zingine nyingi, siri hizo pia zimeanika mipango ya US juu ya UN, EU, WB na mashirika mengine makubwa, siri hizo pia zinahusisha mipango ya US juu ya viongozi wakubwa kama Angel Mikel, viongozi wa Indonesia, Viongozi wa Islam Marekani. Je marekani ipo tayari kumtengeneza undercover mmoja atakayewagombanisha na makampuni yao makubwa kama Apple Inc, Exxon Mobil, Vodafone, AT&T, Google, Microsoft, Verizon, Yahoo, prism.
 
Kero yangu kwako ni ku quote uzi mzima hii ni kero kwa mtumiaj wa simu[emoji17]
 


Mkuu Ntuzu mbona sioni hoja kwenye ulichoandika (no disrespect).
>>Huko kujichanganya unakozungumzia ni kupi?
>>Unaposema Snowden ni mtu mdogo kwa US unamaanisha nini?
>>Je ni lini wake zake walikuwa wazungumzaji wa Osama/Al Qa'ida?
>>Niambie kwanini maiti za Saddam/mtoto wa Saddam/Gadaffi zilisambazwa lkn maiti ya Osama ilitoswa baharini?
>>Je unafahamu lolote kuhusu uhusiano aliokuwa nao Osama na Pakistani?

Ukiwa tayari jibu hoja zangu kwa hoja.
 
Km uko online tujadili kitu kimoja baada ya kingine.

Tuanze Na swala LA wake za Osama Bin Laden.

Wake za Osama bin Laden baada ya mume wao kuuwawa wilishikiliwa Na serikali ya Pakistan pamoja Na makachero Wa US kwa muda Wa mwaka mzima then wakaja kuachiwa huru Na kuruhusiwa kurudi ktk nchi zao. Sasa km ni tukio LA kupangwa ilikuaje hawa wake zake wazuiriwe Na wao walikua wakikiri kuvamiwa Na majeshi ya USA Na mume wao kuuwawa. Hili liko wazi na ni moja ya ushahidi kutoka kwa wake zake kua mume wao aliuwawa. Hakuna ushahidi mwingine waweza kupatikana kwa karibu km huu Wa wake zake
 
Maiti za Gaddafi Na mtoto wake hizi maiti hazikuuliwa Na majeshi ya USA. Hawa waliuwawa Na waarabu wenyewe tena ambao walikusudia kumdhihaki Gaddafi.

Nikija ktk swala LA Saddam. Us ndio waliokuwa wakimshikilia Saddam Na baada ya Saddam kunyongwa US waliuchukua ule mwili Wa Saddam kwa Helicopter ya kijeshi mpk ktk mji Wa asili Wa Saddam kwa ajili ya mazishi Na wakamchukua Shekhe kumfanyia taratibu za mazishi Na baada ya mazishi kilichofata wakaruhusu watu waweze kutembelea hilo kaburi matokeo Yake ummati mkubwa ulifumuka kwenda ktk hilo kaburi Na Saddam ghafla akawa Shujaa Na mahujaji mbali mbali kutoka sehemu mbali mbali wakawa wanaenda hapo Na kujikuta wanapatikana kina Saddam wengine Na kuzaliwa wengine wengi ktk misimamo ya itikadi Kali hichi ndio kitu ambacho serikali ya USA ilijifunza Na kuamua mwili Wa Osama uzikwe sehemu isiyojulikana.
 
Maiti za Gaddafi Na mtoto wake hizi maiti hazikuuliwa Na majeshi ya USA. Hawa waliuwawa Na waarabu wenyewe tena ambao walikusudia kumdhihaki Gaddafi.

Nikija ktk swala LA Saddam. Us ndio waliokuwa wakimshikilia Saddam Na baada ya Saddam kunyongwa US waliuchukua ule mwili Wa Saddam kwa Helicopter ya kijeshi mpk ktk mji Wa asili Wa Saddam kwa ajili ya mazishi Na wakamchukua Shekhe kumfanyia taratibu za mazishi Na baada ya mazishi kilichofata wakaruhusu watu waweze kutembelea hilo kaburi matokeo Yake ummati mkubwa ulifumuka kwenda ktk hilo kaburi Na Saddam ghafla akawa Shujaa Na mahujaji mbali mbali kutoka sehemu mbali mbali wakawa wanaenda hapo Na kujikuta wanapatikana kina Saddam wengine Na kuzaliwa wengine wengi ktk misimamo ya itikadi Kali hichi ndio kitu ambacho serikali ya USA ilijifunza Na kuamua mwili Wa Osama uzikwe sehemu isiyojulikana.
 
Nadhani hata kama Osama ameamua kujificha ili tusijue alipo au ameamua kuacha ugaidi na kupumzika ,sioni athari zake labda ni sisi tu tunajipa tabu kwa kukabwa na kiu ya umbea,...
Na haya yote yanatokea kwasababu watu wame poteza amani na taifa la Marekani
 
Uhusiano aliokua nao Osama Na USA ulikua ni wakati ule Wa vita vya kuwafukuza warusi ktk jamhuri ambazo zilikua chini ya USSR. Sasa Osama alitumika sn kuwahamasisha mujahidina kuweza kupambana Na Russia. Na baada ya hapo Osama akabaki kua RAIA Wa kawaida mfanya biashara mkubwa Na mwanasiasa ktk nchi Yake ya Saudia mpk pale walipomfukuza Na kumfutia uraia wake kwa kosa LA jaribio lake kutaka kuuwa utawala Wa king Abdulah Wa Saudia kwa kile Osama alidai kua utawala huo uliwapa makafiri ardhi ili kuwashambulia waarabu na waislamu wenzao. Na baada ya hili jaribio kushindwa Na kufutiwa uraia Osama akaazimia kuanzisha harakati za kupambana Na USA Na akaanza kutembea all over the world kuhubiri jihad Na Imani Yake ya itikadi Kali huku akitafuta Na kusajiri vijana kwenda kupata mafunzo mbali mbali ya kivita na utekaji Na kutumia silaha Na dhana mbali mbali. Mambo haya yalifanyika kutokea miaka ya 90 mwanzoni mpk ilipokuja kua attacked WTC.
 
Pakistan iliamua kumficha Osama Na wakati Osama akiwa Saudia huku akiwasapoti mujahudina wakati Wa kuwatimua warusi huko Afghanistan, Osama ndio aliekua akiwashauri taifa LA Pakistan kumiliki nishati Na dhana za kivita za nyukilia. Na baada ya hapo kua anatafutwa Na USA, Pakistan Na vyombo vyake vya usalama waliamua kumficha Na wakawa wanashiriki Na USA kumtafuta Osama kwa upande mmoja Na upande mwingine wakiwa wanamsaidia kitu ambacho US waliamua kutengeneza kitengo kingine cha kumtafuta Osama bila kushirikiana Na taasisi za usalama za Pakistan.
 
Mm nakushauri achana na mambo ya ya kiusalama.
Ya kimarekan na dunia kwa jumla ukifuatilia uzi vizuri utaelewa kwann osama hajauwawa.
Kwan kwenye usalama wa marekani watu kama osama wapo wengi.
Kwa hyo ukimuua mtu kama osama wengine hawatakuwa na amani na utaharibu mfumo mzima wa kiusalama tafakari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…