Edwin Mtei aliposikitishwa na Tundu Lissu kumtusi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere

Kwa vile umemtusi Mwalimu, heri tukupe live sasa ili ujijue kule unakoangukia.

Mmejileta nyie kupitia kwa Seyyid Said, akifikiri mtalala huku afrika maisha raha mustarehe hata mkiwa marehemu.
Mmeikuta Tanganyika na tukawawowa.
Mtaendelea kuolewa huku Tanganyika ndo mujue hapa Zenj ni kwa Watanganyika na sio kwa waOman.
 

Si ndio tabia za babayo wa pii hizo kenge Laanatullahi Nyerere au vipi?
 
Mkuu inaonekana haujui Lissu aliongea maneno gani hadi Mzee Mtei kujitokeza hadharani na kukemea na kutoa angalizo au muon
Umenena haswa mkuu.
Nyerere aliset standard ya uongozi ambayo bado haijafikiwa na waliofuata.
Lakini bado alikuwa na kasoro zake.

Tunalo mlaumu Lissu ni ule uthubutu wa kijinga wa kumtusi na kumdhrau Mwalimu.
Lisu ni kiongozi wa mihemuo na asiye na vision.
Ana elimu ndiyo lakini, he thinks after talking na si before talking.

Lissu alifikiri watu wamesahau matusi yake,.
Kiuhakika , anayopitia sasa ni a direct reflection ya the loose cannon he always carries in the form of a bad mouth.
 
Lakini mbona Lissu huyo huyo pia amempa heshima sana Nyerere kwa kumnukuu mara nyingi sana, hususan kwenye mjadala mzima wa "maendeleo ya watu badala ya vitu", akimsifia Nyerere kwa kuelewa hili na kumsema vibaya Magufuli kwa kutoelewa hili?

Maneno halisi ambayo Lissu alimsema vibaya Nyerere ni yapi?

Hata mimi namsema vibaya Nyerere. Kwa kudumaza upinzani alivyoupiga marufuku miaka ya sitini, kwa kutuparamisha Ujamaa ulioangusha uchumi. Kwa kuratibu na kubariki wizi wa kura Zanzibar. Kwa kuhamishq mji mkuu kutoka Dar mpaka Dodomq bila ya sababu ya msingi ya kiuchumi.

Lakini Nyerere huyo huyo namuheshimu sana, kwa usomi wake, kwa werevu wake, kwa kujenga umoja wa kitaifa, kwa kuiongoza dunia kupinga utawala dhalimu wa Afrika Kusini. Nyerere alikuwa kiongozi wa jwanza duniani kususia budhaa za Afrika Kusini ya kibaguzi, karibu dunia nzima ikamfuata.

Nyerere was a comolex man. Nina mengi sana ya kumsifia. Kuna standards za uongozi aliziweka mpaka leo waliomfuatia hawajazifikia. Alikuwa the so called "philosopher king", something rare. Lakini oia nina mengi ya kumsema vibaya.

Na ikiwa tu sijamtukana matusi ya nguoni, kitu ambacho si ustaarqbu kumtukana mtu yeyote, achilia mbali kiongozi wa nchi, na kama maneno yangu ni kweli, sioni ubaya wa kumsema vibaya Nyerere.

Tundu Lissu alitoa matusi ya nguoni kwa Nyerere?

Alitoa maneno gani?
 
Kwani mtu mwenye baba wawili huwa anaowa au kuolewa ?
Hayo ya jadi ya kwenu na mliyokuja nayo, mwulize Seyyid Said aliyewaleta.
Anajua zaidi.
Niulize chogo lenye akili nyingi nitakuambia.
 
Hayo ya jadi ya kwenu na mliyokuja nayo, mwulize Seyyid Said aliyewaleta.
Anajua zaidi.
Niulize chogo lenye akili nyingi nitakuambia.
Uzi wako unataka uongeze page lakini watu wameupuuza , bakia na mzimu wa baba yako wapili Laanatullahi kenge Nyerere,
 
Uzi wako unataka uongeze page lakini watu wameupuuza , bakia na mzimu wa baba yako wapili Laanatullahi kenge Nyerere,
Hayo ni mawazo yako ya kijinga weye laanatullahi Gavana,wa kuja.
Tutawashughulikia mpaka basi.

Kwa ujinga wako hujui uzi huu umeanza lini, mihemuko ndio inawaumiza kizazi chenu kilicholaaniwa.

Sasa basi, kila ya hoja ya kijinga utoayo itajibiwa kiufasaha, tukana upendavyo, maana ndivyo ulivyojaaliwa.

Wengine hawachangii huu upuzi wako maana wanaridhika jinsi ninavyokudhibiti barabara.
 

Jidu la majambazi, the man with two fathers πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Idd Amin alimwambia huyo baba yako wa pili kwa sauti yake nyororo angalimwoa ?
Kumbe kenge alikuwa ni punga
Una pepo la ushoga la mababu zako na lilirithishwa kwako na baba ysko.
Njoo kwa Mwamposa ukanyage mafuta.
Utapona tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…