Edwin Mtei aliposikitishwa na Tundu Lissu kumtusi Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere

Kutawaliwa na mawazo ya kishoga jamvini noma mwanangu!
Nimefuatilia mpangilio wako wa mawazo, huna jingine!
Nilijua mtakuja kwani hampendi kusemwa vitendo vyenu wafuasi wa kanisa la nabii Tito, wala hapendi kusikia kuwa baba yako wa pili kenge Nyerere alitaka kuolewa na Idd Amin
 
Hakumtukana, hao wanaosema hivyo wana akili finyu, yeye alimkosoa na hata Mwalimu Nyerere alikiri enzi za maisha yake kwamba kuna makosa aliyafanya wakati wa utawala wake na akaomba asamehewe, tumeshamsamehe.
 
Lkn imetusaidia watz kuwa na discipline na nchi yetu Ina amani na Ina tawalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…