Ee Mungu iweke roho yake mahali pema peponi

Mkuu umeomboleza kama Mnyakyusa!
Nasikia wanyakyusa wanalia kisawasawa, hata wasipojua nani kafa!
 
Uwepo wa Mungu hauthibitishwi na watu ni kutokana na nguvu ya Roho mtakatifu ndo humfunulia mtu nuru ya kuona uwepo wa Mungu. Unamjua Roho Mtakatifu?
Umeambiwa kuthibitisha uongo mmoja, umeshindwa, unazusha uongo mwingine kabla hujathibitisha wa kwanza.

Roho Mtakatifu ni nini? Unaweza kuthibitisha huyo Roho Mtakatifu yupo kwli na si hadithi za uongo za watu tu?
 
Umeambiwa kuthibitisha uongo mmoja, umeshindwa, unazusha uongo mwingine kabla hujathibitisha wa kwanza.

Roho Mtakatifu ni nini? Unaweza kuthibitisha huyo Roho Mtakatifu yupo kwli na si hadithi za uongo za watu tu?
Hakika huko kwenye giza totoro, hivi unawezaje kumthibitisha kwamba kiranga ni binadamu sio roboti.
Usikalili kwamba kila habar ya uwepo wa Mungu ni uongo utakuja kuumia.
 
Unajuaje aliyewaumba ni Mungu?

Yani hapo ni sawasawa na kusema Toyota imeumbwa na Mjerumani, kwa sababu Toyota ni lazima iwe na muumbaji.

Sasa unajuaje muumbaji ni Mjerumani na si Mchina au Mjapani?
Biblia imesema wazi.
 
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu mwenye enzi yupo kweli na kwamba habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu?
Hata wewe Kiranga (Shetani) ni matokeo ya uwepo wa Mungu.
Unajuaje Biblia inachosema ni kweli na si uongo ulioandikwa na watu tu?
Kiranga kwa kilugha chetu ni Shetani kwa hiyo sishangai sana kupinga uwepo wa Mungu.
 
Hata wewe Kiranga (Shetani) ni matokeo ya uwepo wa Mungu.

Kiranga kwa kilugha chetu ni Shetani kwa hiyo sishangai sana kupinga uwepo wa Mungu.
Hujathibitisha kwamba Mungu yupo, wala Shetani.

Thibitisha, bila uthibitisho, tutajuaje hizo habari zako si hadithi za watu tu?
 
asante mtumishi
 
Unajuaje Biblia inachosema ni kweli na si uongo ulioandikwa na watu tu?
Biblia inaeleza jinsi Yesu alivyokuwa akikemea pepo/majini, yanatii na kutoka. Leo hii kwa Jina la Yesu tunakemea pepo na pepo wanatoka. Hujasikia watu waliokuwa viziwi au bubu kwa sababu ya pepo? Pepo walipokemewa na kutoka, waliokuwa viziwi walianza kusikia na waliokuwa mabubu kwa sababu ya pepo walianza kuongea. Biblia ingekuwa sio ya kweli hayo yasingefanyika leo.
 
Hata wafanya maigizo wanaweza kusema wanatoa pepo.

Thibitisha Mungu yupo.

Biblia imejaa contradiction na hivyo haiwezi kuwa kitabu cha Mungu.
 
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu mwenye enzi yupo kweli na kwamba habari za kuwepo kwake si za kutungwa na watu tu?

Ila wee jamaa unafurahisha sana 😄 upande huu ndio huwa unawasumbua maana hawajulikani Mungu yupi wanamwabudu. Lakini kwa waislamu unaonekana empty kabisa. Pole sana kiranga.
 
Ni MTU asiyejulikana?
 
Ila wee jamaa unafurahisha sana [emoji1] upande huu ndio huwa unawasumbua maana hawajulikani Mungu yupi wanamwabudu. Lakini kwa waislamu unaonekana empty kabisa. Pole sana kiranga.
Thibitisha Mungu yupo.
 
Hata wafanya maigizo wanaweza kusema wanatoa pepo.

Thibitisha Mungu yupo.

Biblia imejaa contradiction na hivyo haiwezi kuwa kitabu cha Mungu.
"Hakiwezi kuwa kitabu Cha Mungu" unataka kutuambia kuwa Mungu yupo Ila Biblia si kitabu chake kwa sababu kina mkanganyiko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…