Ee Mungu iweke roho yake mahali pema peponi

Ee Mungu iweke roho yake mahali pema peponi

"Hakiwezi kuwa kitabu Cha Mungu" unataka kutuambia kuwa Mungu yupo Ila Biblia si kitabu chake kwa sababu kina mkanganyiko?
Logical non sequitur.

Wapi nimesema Mungu yupo?

Nikisema wewe huwezi kuwa mtoto wa James Bond 007, mojawapo ya sababu inayokufanya wewe usiweze kuwa mtoto wa James Bond 007 ni kuwa huyo James Bond hayupo katika dunia ya uhalisia nje ya hadithi na sinema.

Sasa nikisema Biblia hakiwezi kuwa kitabu cha Mungu mbona unaleta nyege za kusema nimesema Mungu yupo bila hata kuniuliza?

Kwa nini unaniwekea maneno ambayo sijaandika?

Huu ni ujinga wa kawaida tu au ni ushenzi wa kupindua maneno ya watu kwa makusudi?
 
Logical non sequitur.

Wapi nimesema Mungu yupo?

Nikisema wewe huwezi kuwa mtoto wa James Bond 007, mojawapo ya sababu inayokufanya wewe usiweze kuwa mtoto wa James Bond 007 ni kuwa huyo James Bond hayupo katika dunia ya uhalisia nje ya hadithi na sinema.

Sasa nikisema Biblia hakiwezi kuwa kitabu cha Mungu mbona unaleta nyege za kusema nimesema Mungu yupo bila hata kuniuliza?

Kwa nini unaniwekea maneno ambayo sijaandika?

Huu ni ujinga wa kawaida tu au ni ushenzi wa kupindua maneno ya watu kwa makusudi?
Mbona Hilo Ni swali umeulizwa?
Yumkini umeshatambua kuwa Mungu Yupo.
Mungu anakupenda.
Mungu Ni Upendo.
 
Thibitisha Mungu yupo, acha kuhubiri uzushi.
Mpumbavu amesema moyoni mwake "hakuna Mungu".

Mimi Ninakuambia Mungu Yupo na Anakupenda.

Ingekuwa heri leo usikie sauti yake, usiufanye mgumu moyo wako.
 
Mpumbavu amesema moyoni mwake "hakuna Mungu".

Mimi Ninakuambia Mungu Yupo na Anakupenda.

Ingekuwa heri leo usikie sauti yake, usiufanye mgumu moyo wako.
Unahubiri, hujathibitisha.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Unajuaje aliyewaumba ni Mungu?

Yani hapo ni sawasawa na kusema Toyota imeumbwa na Mjerumani, kwa sababu Toyota ni lazima iwe na muumbaji.

Sasa unajuaje muumbaji ni Mjerumani na si Mchina au Mjapani?
Imani ni kuwa na yakini moyoni juu yakuwepo kwa jambo usiloliona lakini ukawa na dalili ju ya uwepo wa jambo hilo
 
Hata wafanya maigizo wanaweza kusema wanatoa pepo.

Thibitisha Mungu yupo.

Biblia imejaa contradiction na hivyo haiwezi kuwa kitabu cha Mungu.
Of course kama hicho kitabu kina contradictions hakiwezi kuwa cha Mungu. Lakini lakini hicho kitabu hakina contradictions zozote au labda hujapata proper receptors za kukufahamisha kuwa hicho kitabu cha Mungu hakina contradictions
 
[emoji1431][emoji1431]
Jamii Forums, The Home Of Great Thinkers
 
Watu wameogopa kifo kutoka enzi na enzi.

Maelezo yoyote yatakayompa jibu juu ya nini kinatokea baada ya kifo, maelezo yatakayomhakikishia kuna maisha akiishi atapata kufufuliwa upya, maelezo yatakayomtoa wasiwasi ndiyo hayo hayo atayakumbatia kwa nguvu zote.

Maelezo yawe kutoka kwenye Biblia au Quran au article ya mtandaoni, email newsletter yoyote yale yanatosha kuamua kipi ukumbatie.
 
Hata wafanya maigizo wanaweza kusema wanatoa pepo.

Thibitisha Mungu yupo.

Biblia imejaa contradiction na hivyo haiwezi kuwa kitabu cha Mungu.
Wafanya maigizo waombe wamtafute kichaa mwenye pepo, anayejulikana na wengi mtaani kuwa ni kichaa, halafu waambie wafanye maigizo ya kumtoa pepo kichaa ndani ya huyo kichaa. Akiwa mzima kwa maigizo hayo na watu wote mtaani wakakiri kichaa amepona, unitag.
 
Unahubiri, hujathibitisha.

Thibitisha Mungu yupo.
We jamaa watu wakikusifia una hoja unajiona una akili Sana kumbe ni empty tu, we unajiona unauliza maswali ya maana wakati ni takataka za kiwango cha PhD...Kwani ukiamini kwamba Mungu yupo unapata hasara gani? Maisha ya duniani ni mafupi amka ndugu, we endelea tu kutumia nguvu nyingi kukanusha uwepo wa Mungu utafikiri umejiumba mwenyewe, jaribu kutumia nguvu nyingi kuupunguza huo upumbavu ulionao nafikiri utamheshimu Mungu na kuuona uwepo wake.
 
Imani ni kuwa na yakini moyoni juu yakuwepo kwa jambo usiloliona lakini ukawa na dalili ju ya uwepo wa jambo hilo
Unaweza kuamini kwamba wewe ni mkubwa kuliko Mama yako mzazi kwa msingi huu ulioutaja?
 
Of course kama hicho kitabu kina contradictions hakiwezi kuwa cha Mungu. Lakini lakini hicho kitabu hakina contradictions zozote au labda hujapata proper receptors za kukufahamisha kuwa hicho kitabu cha Mungu hakina contradictions
Contradiction ni nini na unathibitishaje kitabu hakina contradiction?

Nikikupa maneno mawili yanayopingana kutoka katika hicho kitabu, unaweza kukubali kwamba kuna contradiction?

Au kabla hatujaanza mjadala umeshajiapiza kwamba kitabu hakina contradiction na chochote kitakachoonekana kuwa contradiction ni mapungufu yetu?

Nauliza kwa sababu, kama umeshajiapiza kuwa kitabu hakina contradiction na chochote nitakacho kueleza kuhusu contradiction ni makosa yetu kwenye uelewa, hakuna sababu ya kuendelea kujadiliana nawe.
 
Wafanya maigizo waombe wamtafute kichaa mwenye pepo, anayejulikana na wengi mtaani kuwa ni kichaa, halafu waambie wafanye maigizo ya kumtoa pepo kichaa ndani ya huyo kichaa. Akiwa mzima kwa maigizo hayo na watu wote mtaani wakakiri kichaa amepona, unitag.
Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Wewe dhibitisha kuwa Mungu hayupo.
Kwanza thibitisha Mungu yupo, au kubali huwezi kuthibitisha hilo.

Kisha tutakuja upande wangu.

Usitake nijibu swali lako, kabla hujajibu langu nililouliza awali.
 
We jamaa watu wakikusifia una hoja unajiona una akili Sana kumbe ni empty tu, we unajiona unauliza maswali ya maana wakati ni takataka za kiwango cha PhD...Kwani ukiamini kwamba Mungu yupo unapata hasara gani? Maisha ya duniani ni mafupi amka ndugu, we endelea tu kutumia nguvu nyingi kukanusha uwepo wa Mungu utafikiri umejiumba mwenyewe, jaribu kutumia nguvu nyingi kuupunguza huo upumbavu ulionao nafikiri utamheshimu Mungu na kuuona uwepo wake.
Sijawahi kuwa motivated na kusifiwa na watu.

Ningekuwa napenda kusifiwa nisingesema habari isiyopendwa na watu wengi kwamba Mungu hayupo.

Sijaongelea kuamini, naongelea uthibitisho.

Ukiamini pipi inaponya ugonjwa usio na dawa unaoua, ukahatarisha afya yako kwa kuamini pipi itakuponya, hiyo imani yako potofu ina ubaya gani?

Thibitisha Mungu yupo.
 
Contradiction ni nini na unathibitishaje kitabu hakina contradiction
Ni hizo ulizozimaanisha mkuu. Nimezungumza contradictions kama ulivomaanisha, contradictions. Mimi ninavyojua hakuna contradictions sasa kukuthibitishia kuwa hakuna contradictions ni mpaka wewe useme unachokidhani ni contradictions
Nikikupa maneno mawili yanayopingana kutoka katika hicho kitabu, unaweza kukubali kwamba kuna contradiction?
Bora ungesema tu hapa na hapa ni contradictions ndio nikubali au nikueleze kwa vipi sio contradictions au jibu lingine ninaloamini kuwa linafaa
Nauliza kwa sababu, kama umeshajiapiza kuwa kitabu hakina contradiction na chochote nitakacho kueleza kuhusu contradiction ni makosa yetu kwenye uelewa, hakuna sababu ya kuendelea kujadiliana nawe.
Mengine haya unajipatia majibu. Nikisema na wewe umeshajiapiza kutokubali maelezo yoyote yanayofafanua unachodhani ni contradictions ndio itasaidia Nini. We lete hoja hapa unisaidie kwa hizo
 
Sijawahi kuwa motivated na kusifiwa na watu.

Ningekuwa napenda kusifiwa nisingesema habari isiyopendwa na watu wengi kwamba Mungu hayupo.

Sijaongelea kuamini, naongelea uthibitisho.

Ukiamini pipi inaponya ugonjwa usio na dawa unaoua, ukahatarisha afya yako kwa kuamini pipi itakuponya, hiyo imani yako potofu ina ubaya gani?

Thibitisha Mungu yupo.
Je akila pipi tu asifanye lingine halafu akapona na dawa zingine alitumia zikaongeza ugonjwa wake, baada ya pipi mara moja akapona utasemaje
 
Back
Top Bottom