Eeh Mungu, sijui kipi kinachofuata, natumaini ni chenye unafuu kidogo zaidi ya ugumu huu

Eeh Mungu, sijui kipi kinachofuata, natumaini ni chenye unafuu kidogo zaidi ya ugumu huu

Nini maana ya maisha?, Nini sababu ya uwepo huu?, Ni ipi siri ya safari hii?

Nini maana yangu? Nini sababu ya uwepo wangu? Ni ipi siri ya uundaji wangu?

Ni ujinga wangu au ni hatma ya safari yangu?
Ni mapungufu yangu au ni ubabe wao?
Ni dhambi zangu au ni laana yangu?

Je hii safari yangu hadi kifo ni "challenge" ilioandaliwa tayari?

Je mimi ni "NPC" (non-playable character) nilioundwa kwa madhumuni fulani na siwezi toka katika system.

Ni kwamba sijakuwa kiroho zaidi?
Ni kwamba sina bidii zaidi?
Ni kwamba sina bahati zaidi?
Ni kwamba sina akili zaidi?

AU TU,

Ni kwamba basi, SISTAHILI.

Je NEEMA anastahili kila mtu?
Je REHEMA anastahili ya kila mtu?
Je FADHILI anastahilii kila mtu?
Je HURUMA anastahili kila mtu?
Je BARAKA anastahili kila mtu?

AU BASI TU,

Maisha na ulimwengu mzima ni fumbo ambalo linahitaji passwords na labda wachache walifanikiwa kujua.

AU BASI TU,

Sina bidii kwa Mungu mkuu.

JIONI NJEMA.
Shida ni taarifa ulizozikuta hapa duniani ndiyo zinakuchanganya ila siku ukija kujua kwamba haya mambo si halisi bali ni kiini macho tu utayafurahia sana maisha
Hebu relax acha kupambana usije ukapigwa na kitu kizito na akina Kiboko ya wachawi
 
Usiweke mambo ya imani sana kwenye haya maisha, usiweke matarajio sana ya kwamba sijui umebarikiwa, utainuliwa wakati ukifika, mambo yote yamepagwa hivyo huwezi badilisha na vitu kama hivyo.

Wewe ni wewe jipe furaha, tafuta amani ya moyo wako, tafuta maisha mazuri, kama una uwezo saidia watu na uwatendee watu matendo mema.
 
Nini maana ya maisha?, Nini sababu ya uwepo huu?, Ni ipi siri ya safari hii?

Nini maana yangu? Nini sababu ya uwepo wangu? Ni ipi siri ya uundaji wangu?

Ni ujinga wangu au ni hatma ya safari yangu?
Ni mapungufu yangu au ni ubabe wao?
Ni dhambi zangu au ni laana yangu?

Je hii safari yangu hadi kifo ni "challenge" ilioandaliwa tayari?

Je mimi ni "NPC" (non-playable character) nilioundwa kwa madhumuni fulani na siwezi toka katika system.

Ni kwamba sijakuwa kiroho zaidi?
Ni kwamba sina bidii zaidi?
Ni kwamba sina bahati zaidi?
Ni kwamba sina akili zaidi?

AU TU,

Ni kwamba basi, SISTAHILI.

Je NEEMA anastahili kila mtu?
Je REHEMA anastahili ya kila mtu?
Je FADHILI anastahilii kila mtu?
Je HURUMA anastahili kila mtu?
Je BARAKA anastahili kila mtu?

AU BASI TU,

Maisha na ulimwengu mzima ni fumbo ambalo linahitaji passwords na labda wachache walifanikiwa kujua.

AU BASI TU,

Sina bidii kwa Mungu mkuu.

JIONI NJEMA.
Hongera mkuu kwa bandiko fikirishi.

Ukisoma huu ujumbe kwa kutulia, utaona ni maswali anayohitajika kujiuliza binadamu yeyote mwenye kujitambua bila kujali hali yake kiuchumi.
 
Kusudio kuu la Mwenyezi Mungu kwa mwana damu ni kumpenda kumwabudu na kumtukuza.Mwenyezi Mungu ametuumba kwa mfano wake na akatupa uwezo wa kuvitawala viumbe vyote vya angani ,ardhi na maji.
Aliumba miti lakini hakukupa viti vitanda na vyote vitokanavyo na zao la mti.Huu ni mf mdogo tu.
Je waliogundua miti unaweza ukatibu ukatengeneza kabati ,ukatengeneza meli nk walikuwa si wanadamu?
Kufanikiwa ni matokeo ya kuumiza ubongo bila kuchoka.
Tunapoteza muda kuwaza mambo ya ajabu na kuishia kulaumu.
Uvivu wa kufikiri na kutokuchukua hatua kwa kila fikra inayokujia kichwani ndiyo chanzo cha umaskini.
Kujikatisha tamaa na uoga ni chanzo cha umaskini.
Chukua hatua umaskini ni kilema tena cha kuogopwa.
Watu wanazaliwa nchi zenye vita ila Bado wanatoboa ,upo Nchi yenye maziwa na Asali,mito,madini ,Amani ya nchi Ipo Bado unakata tamaa serious!!
 
Kusudio kuu la Mwenyezi Mungu kwa mwana damu ni kumpenda kumwabudu na kumtukuza.Mwenyezi Mungu ametuumba kwa mfano wake na akatupa uwezo wa kuvitawala viumbe vyote vya angani ,ardhi na maji.
Aliumba miti lakini hakukupa viti vitanda na vyote vitokanavyo na zao la mti.Huu ni mf mdogo tu.
Je waliogundua miti unaweza ukatibu ukatengeneza kabati ,ukatengeneza meli nk walikuwa si wanadamu?
Kufanikiwa ni matokeo ya kuumiza ubongo bila kuchoka.
Tunapoteza muda kuwaza mambo ya ajabu na kuishia kulaumu.
Uvivu wa kufikiri na kutokuchukua hatua kwa kila fikra inayokujia kichwani ndiyo chanzo cha umaskini.
Kujikatisha tamaa na uoga ni chanzo cha umaskini.
Chukua hatua umaskini ni kilema tena cha kuogopwa.
Watu wanazaliwa nchi zenye vita ila Bado wanatoboa ,upo Nchi yenye maziwa na Asali,mito,madini ,Amani ya nchi Ipo Bado unakata tamaa serious!!
Ahsante boss
 
Shida ni taarifa ulizozikuta hapa duniani ndiyo zinakuchanganya ila siku ukija kujua kwamba haya mambo si halisi bali ni kiini macho tu utayafurahia sana maisha
Hebu relax acha kupambana usije ukapigwa na kitu kizito na akina Kiboko ya wachawi
Ahsante boss
 
Usiweke mambo ya imani sana kwenye haya maisha, usiweke matarajio sana ya kwamba sijui umebarikiwa, utainuliwa wakati ukifika, mambo yote yamepagwa hivyo huwezi badilisha na vitu kama hivyo.

Wewe ni wewe jipe furaha, tafuta amani ya moyo wako, tafuta maisha mazuri, kama una uwezo saidia watu na uwatendee watu matendo mema.
Ahsante bossss
 
Back
Top Bottom