Nani alikudanganya BBC wanaajiri wa elimu kubwa? Unamfahamu John Solombi? fuatilia alichukuliwa na BBC akiwa na elimu gani? Huyo Kekeke mwenyewe alijoin BBC akiwa na elimu ya kiwango gani? Mambo usiyoyajua bora kukaa kimya!
Zinapatikana TuneIn, download kutoka playstore utazipata za kutoshaHiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
[emoji28][emoji28][emoji121]
MKUU,
TV YA JAMAA WA E.FM INAITWAJE NA INAPATIKANA KWENYE DIKODA GANI??
Majey, majiiiii, majiiiizo [emoji28]Yule Dj nani nani sijui.....[emoji134] [emoji134]
Ebu ngoja kwanza waje
Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994Kama hujui Kikeke ni graduate wa SUA kabla hajaanza utangazaji,
Enzi za kina Tido Mhando,Charles Hillary ndio walikuwa hawaangalii elimu siku hizi elimu ni kigezo kikubwa kupata kazi BBC
Aligoma sababu ya kiingereza au hakua na vyeti vya kumpeleka?Millard Ayo hawezi kuondoka Clouds,aligoma kwenda BBC sembuse hao EFM hajafika ata hapo kibaha?
Hujaamua kuzitafuta, ingia tunein alafu tafuta kama East Africa Radio utazipata mf mimi niko sehemu ambayo radio haisikiki lakini naweza ipata Kwa njia hiiHiyo efm mbona huku mokoani hawapo?Halafu redio za Tanzania huwa hawapo live stream kwa nini au ni ushamba tu?Mbona kenya wapo sana?Mi nasikilizaga sana Classic fm 105 kenyamoja.com
Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994
Mkuu usiendelee kupotosha hapa, ni lini Kikeke alisoma SUA? Huyu alisoma diploma chuo cha kilimo nyegezi na alimaliza mwaka 1994
Mbona aliondoka Ea radio wakati aliisifu sanaKwa Babie Kabae nitakukatalia 100% kuwa ni uwongo na haitakuja kutokea hata siku moja. Naomba niishie hapa tafadhali.
Hujui uandikalo then hufuatilii mambo ya media kabisa waonyeshAKwanini wanashindwa kuwatengeneza watangazaji wao ili waje kuwa maarufu na kujivunia?
Kama kutwa nzima kufukuzia watangazaji wa mawingu hii inawapaisha sana mawingu kuwa wao ndio wapishi wa watangazaji maarufu Tz.
Ni vema waanze kuwapika watangazaji wadogo wadogo ambao hawajapata kuwa maarufu.
Hawa wanaowafukuzui ipo siku watazeeka na kufa.
Au Sauti anawachanganya wananchi, IQ tu inathibitisha hiloMilard Ayo ni mtangazaji wa habari za burudani huko BBC atatangaza kipindi gani na pia elimu yake ni ndogo kuajiriwa BBC
Mbona aliondoka Ea radio wakati aliisifu sana
Sure hata kikeke alikuwa anahojiwa akasema unatakiwa ujuwe lugha zaidi ya mbili kiufasahaAligoma sababu ya kiingereza au hakua na vyeti vya kumpeleka?
Maisha haya bhanaSiku nyingine ukiona naandika post humu halafu mwishoni naandika neno " naomba niishie hapa tafadhali " jua kuna jambo nyeti na la uhakika ambalo nalijua juu yake ila siwezi kuliweka hadharani hapa. Labda nirudie tena kusema kuwa Babie Kabae hapo Clouds Media Group ndiyo ' astaafia ' Kazi yake ya Utangazaji. Naomba niishie hapa tafadhali!
Kuanzia january 2017 itafika coz sheria inasema radio inatakiwa ifikishe miaka 3 ndio ianze kutoka mikoaniKabla ya kufungua hicho kituo cha TV wangehakikisha angalau Radio yao inafika kwenye Majiji ya Tz