Njema kabisa
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 699
- 238
Hivi hamna namna ya kuajiri kizazi kipya? Mbona wenye taaluma kama hizo wako mtaan wengi tu? Inashangaza sana Efm kuwania watangazaj na Clauds wakat vijana kibao wenye taaluma wako mtaan badala yake wanaajiri watu maarufu wasiokuwa na taaluma alaf wanategemea kuongeza wasikilizaji kuna watangazi uchwara wengi sana