Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
Amevunja sheria gani itaje hapa tuisome wote kwa pamojaAmekiuka maadili ya taaluma, ashughulikiwe vilivyo, suala la umiliki halihusiani.
Ni wakati muafaka kuondoa watu wa hovyo katika tasnia
Kwa hiyo hii comment yako ndio Ina ishara za usomi?Yaan unachoongea ,inaonekana hauna ufahamu na uelewa wa philosophy za dunia hii.Kwa ufupi hauna elimu ya kutosha.Unajadili issue sensitive Kama mtoto mdogo w darasa la saba B.Nimeshituka sana kuona material zako zikiwa pointless.Nikwambie Tanzania sio kisiwa.Ipo siku kila kitu kitakuwa sawa.Jaribu kusoma theory za dunia kwenye vitabu usibaki nyuma unaonekana upo empty kabisa.
Yaani wote tuungane na msimamo wa serikali kwa lazima hata kama tuna mawazo tofauti?Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavosema.
Kwani hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Kuna Kosa gani amefanya?Majizo na kampuni yake wanatafuta ugali sasa channel ilishakamata halafu mtu mmoja anahoji mikopo wakati hiyo serikali ndo ina TRA, INA BRELA, TCRA, INATAWALA hapo kama Gerald Hando ajitokeze aombe msamaha hadharani na akae nje ya kituo mwezi 1 atakuwa amejirekebisha
Alitakiwa asome maudhui ya radio na TV yao
Mali ni ya Majizo ila uamuzi wa Majizo ni wa kwake binafsi na hataki matatizo na Mamlaka na wewe tafuta chombo chako cha mawasiliano fanya kama Hando life ni tight mno kwa sasa why uingie matatizo na Mamlaka tena kupitia kwa mtu ambaye hajui umetafutaje hizo Mali kwa jasho kubwa?SAKATA la Gerald Hando kuchukuliwa hatua na uongozi wa E-FM kwa kusema hafurahishwi na Serikali inavyokopa kopa unatupa mashaka makubwa sisi wasikilizaji na wadau wa E-FM na kuanza kujiuliza upya kama kweli Majizo ndiye mmiliki halali wa E-FM
View attachment 2464670
View attachment 2464673
Maadili gani aliyokiuka mkuu?Amekiuka maadili ya taaluma, ashughulikiwe vilivyo, suala la umiliki halihusiani.
Ni wakati muafaka kuondoa watu wa hovyo katika tasnia
Kwa kuwa naona upo down sana kiufahamu.Upo kiushabiki na kichawa zaidi.Achana na hizo ,Jaribu kutafuta uelewa ili ufaidike baadae.Knowledge is a power bro!!Kwa hiyo hii comment yako ndio Ina ishara za usomi?
Sio kwamba mama ni msoga type?Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Kabla ya Magufuli media ganii ilikuwa inaichana serikali ????Tatizo lilianzia kwa Magufuli hili. Nchi imekuwa ya kisee Sana.
Hata Mungu anakosolewa sembuse sisiem.
Nendeni mkachukue ajira yenu kiti kipo wazi...jukwaa la kusifu liongezekeAkitaka kukosoa atumie forum zake, sio redio za Majizzo
Maadili gani ya umma aliyokiuka Hando?Amekiuka maadili ya taaluma, ashughulikiwe vilivyo, suala la umiliki halihusiani.
Ni wakati muafaka kuondoa watu wa hovyo katika tasnia