Eid Mubarak to all Muslims
Tabia zingine ni za kuambukizwa tu huko vichochoroni walikokulia, kuna waislam swala 5 wanaishi na wakristo kama familia moja, wanachangia hata ujenzi wa makanisa, sasa huyo kaja na jazba ya kijinga hiyo anajiona mjanjaaa
Sana kakosea sana mimi nina ndugu zangu wa damu wakristo sasa naanzaje kuwabagua ? Hatuwezi kuwa na taifa la namna hii hata siku moja
 
Sana kakosea sana mimi nina ndugu zangu wa damu wakristo sasa naanzaje kuwabagua ? Hatuwezi kuwa na taifa la namna hii hata siku moja
Huyo asipokemewa ni mtu hatari sana anapanda chuki za kijinga, kuna ma Mapadre wanasoma kwenye vyuo vya kiislam ili kuujua uislam unatofautianaje na ukristo, wapo waislam wanasoma biblia mwisho wa siku pande zote mbili zinazungumzia kupendana lakini yeye halijui hilo
 
Hakuna watu wapumbavu na wajinga kama hawa wavaa vilemba,ni bora uishi na mpagani na sio hawa watu,ni hatari sana.

DUnia bila uislamu ingekuwa pahala salama zaidi
 
Yote hayo kisa wali ulipakwa rangi ya mavi ya wahindi? Waislam thibitisheni hili kama nikweli kitabu chenu kina bagua namna hii
 
Anachokiongea na maisha ya mtaani ni tofauti huku tunaishi kwa upendo siyo ajabu upo zako home unaona hotpot la pilau kutoka kwa watoto wa mama mdogo

Huyo sheikh kalelewa na wazazi wa imani kali ndiyo maana anaendekeza ubaguzi huenda hata Quran yenyewe haijui inshort ni maamuma
 
Hakuna watu wapumbavu na wajinga kama hawa wavaa vilemba,ni bora uishi na mpagani na sio hawa watu,ni hatari sana.

DUnia bila uislamu ingekuwa pahala salama zaidi
Kwa kauli hii inaonesha tayari nani mpumbavu
 
Back
Top Bottom