"Eimeeenn!" ni neno ni la lugha gani?

Ukiona kila mara unakelwa na walokole ujue unakaribia kuokoka, walio mbali na wokovu sahizi wanaangalia porno, muziki, muvie, Mpira, hawana muda na eimeeen, hawajawahi hata kuisikia!
 
Spanganati ni potassium permanganate, nilikuwa naitumia kufanyia fumigation ukiichanganya na formalin unapata formaldehyde gas moshi wake bomu la machozi nanusu.
Asante - nilikuwa sijui ndo hiyo. Nimejifunza kitu hapo 🙏
 
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Si kama nyie mnaosema amina
Wakati huyo amina akiwa kwenye singeli ni mtu mwengine kabisa yeye na mama yake😀😀
 
Ukiona kila mara unakelwa na walokole ujue unakaribia kuokoka, walio mbali na wokovu sahizi wanaangalia porno, muziki, muvie, Mpira, hawana muda na eimeeen, hawajawahi hata kuisikia!
Kuokoka maana yake nini? Uzima wa milele ni kumjua Mungu wa kweli. Hawa walokole wanaohubiri miujiza ni upumbavu wa kiwango cha juu kabisa.
 
🤣🤣😜, na wewe ni mlokole gashinaga!
 
Kwaio wew nahuyo dem wako wote nikondoo wahuyo jamaa aisee mwanaume unakuaje wahovyo hivyo hayo mambo wachie wanawake
 
Ukiivuta Amina ndio inakuwa eimeenn? Wala sina shida na hilo ila basi tuseme tumetohoa neno lingine la Kliswahili. Na wanaolitumia ni haya makanisa ya kitapeli ya zaka, sadaka na fungu la kumi!
 
Reactions: apk
Sawa kabisa. Sijui nani aliasisi matamshi hayo.
 
Reactions: apk
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
ukiwa na mapepo huwezi kuelewa lugha hiyo ya kiroho.

wanaeleowana vizur mno watumia Aiemeeeen🐒
 
Reactions: apk
Haya makanisa yanayoota kama uyoga yanayojiita ya kiroho yana vituko achilia mbali hiyo miujiza feki. Eimeen ni neno la lugha gani? Siyo neno halisi katika lugha mama za biblia.
Ni neno linalotokana na mungu wa misri ya kale aliyeitwa Amun Ra ama Amen ra. Ni jina la mungu mkuu wa misri lililochukuliwa na waebrania na baadae waislam na wakristo pia walilichukua na kuanza kulitumia.
 
Ukiivuta Amina ndio inakuwa eimeenn? Wala sina shida na hilo ila basi tuseme tumetohoa neno lingine la Kliswahili. Na wanaolitumia ni haya makanisa ya kitapeli ya zaka, sadaka na fungu la kumi!
Sawa mkuu.
2.Kutoa sadaka/zaka/fungu la kumi ni utapeli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…