fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
na wewe mbona mvivu namna hiyo? ametoa jina la huyo samaki kwa nini usitafute maelezo na picha yake? poraquê (Electrophorus electricus)picha yake tumuone
sasa had niende gugo si angemalizia tu koporo chake??? niwekee bas nimuone 🙄na wewe mbona mvivu namna hiyo? ametoa jina la huyo samaki kwa nini usitafute maelezo na picha yake? poraquê (Electrophorus electricus)
Mama tena! Lazima apate picha za kutosha![emoji847][emoji847][emoji847]picha yake tumuone
Wacha nikuwekee picha Madame!!sasa had niende gugo si angemalizia tu koporo chake??? niwekee bas nimuone 🙄
Yaani anaanza halafu anataka wenzake ndio wamalizie!sasa had niende gugo si angemalizia tu koporo chake??? niwekee bas nimuone 🙄
Huyo samaki je analika amaMama tena! Lazima apate picha za kutosha![emoji847][emoji847][emoji847] View attachment 1361653View attachment 1361654View attachment 1361655View attachment 1361656View attachment 1361658
uyo samaki anatoa Shoti ya Umeme pindi anapojihami dhidi ya maadui,sio kila mda utamkuta anaumemeTanesco wawafuge kwa wingi nchi iwe na umeme wa uhakika
Analika ila wavuvi wakimnasa huwa wanamkimbia! Siku wakibahatika kumleta ufukweni huwa wanamuacha anajiua mwenyewe na huo umeme wake ndiyo awe kitoweo!Huyo samaki je analika ama
Nasikia anaongeza nguvu za kiume mara kumi ya vumbi la kongoElectric eel, huyo samaki ni 'bad news'. Kuna video YouTube anampiga shoti mamba wa ukubwa wa wastani. Yule mamba alikufa ndani ya dakika 1. Ila kuna wahuni wanamvua na kumla. Wanamvutia mahali kwenye shimo la maji pembeni ya mto, akiingia tu, wanamtia marungu kadhaa, akifa ndio wanamshika sasa kuandaa kitoweo.
Duuh! Hilo sikusikia toka kwa wachambuzi wa kwenye hiyo video wala machapisho mtandaoni.Nasikia anaongeza nguvu za kiume mara kumi ya vumbi la kongo
Vipi analiwa? Na anaongeza madini gani mwilini tukimla? Vipi nguvu za kiume haziwezi kubustiwa akiliwa?