Tajiri wa kusini
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,079
- 2,947
Kwahiyo wizara ya elimu ongezeko la division one ndiyo kukua kwa elimu? Nimechukia sana division kujaa kama njugu huku mtaani? Huku watoto wenu wakiwa na poor reasoning kabisa mwishowe tunazalisha kizazi cha machawa wasio na ajira
Binafsi ifike hatua mtihani isiwe kigenzo cha kujua uelewa wa mwanafunzi hawa wanafunzi wenu wako hovyo kabisa huku mtaani na mtaendelea kuwaonea shule za umma kwasababu shule nyingi za binafsi wao wanachujua kutembeza bakuli ili waendelee kufanya biashara
Zamani mapambano,mzumbe au mchikichini ilikuwa hot cake ila sasa ni takataka tu,shule nyingi zilizofaulisha sana ni wahongaji tu ili waendelee kufanya biashara tu
Nawapongeza mikoa ya pwani kwetu elimu hii ya makaratasi ni kupoteza muda tu kwasababu haisaidii chochote kile zaidi ya kuzalisha mafisadi tu
Binafsi ifike hatua mtihani isiwe kigenzo cha kujua uelewa wa mwanafunzi hawa wanafunzi wenu wako hovyo kabisa huku mtaani na mtaendelea kuwaonea shule za umma kwasababu shule nyingi za binafsi wao wanachujua kutembeza bakuli ili waendelee kufanya biashara
Zamani mapambano,mzumbe au mchikichini ilikuwa hot cake ila sasa ni takataka tu,shule nyingi zilizofaulisha sana ni wahongaji tu ili waendelee kufanya biashara tu
Nawapongeza mikoa ya pwani kwetu elimu hii ya makaratasi ni kupoteza muda tu kwasababu haisaidii chochote kile zaidi ya kuzalisha mafisadi tu