Ndio na unaweza ukatolewa TZ ukaenda kua Padre Pakstani huko au Afghanistan yaan hapo utaanza kujifunza lugha na kila kitu mpaka Tamaduni na Mila na Desturi zao hukoWeeee. Sekta hiyo ni wito aseeeeeee maana. Padri ni mali ya kanisa , na ndio maana hakienda kwao hata kuzika tuu mzazi wake haruhusiwi kulala nyumbani kwao , analala parokiani aseee
Na hata padri akifa anazikwa na. Askofu wake / jimboni au any seminary around that jimbo.....
Wa shirika ndo hivyo mzee , ila wa jimbo ni wewe tuu jimboni humo ndani ndani uki rotate parokia , au vigangoNdio na unaweza ukatolewa TZ ukaenda kua Padre Pakstani huko au Afghanistan yaan hapo utaanza kujifunza lugha na kila kitu mpaka Tamaduni na Mila na Desturi zao huko
Sawa mi hina akili.🤣🤣hina akili.
Wale ni maajenti wa roma.Ndio na unaweza ukatolewa TZ ukaenda kua Padre Pakstani huko au Afghanistan yaan hapo utaanza kujifunza lugha na kila kitu mpaka Tamaduni na Mila na Desturi zao huko
Ni mapadre wa Shirika hata hapa wapo wengi tu wanaotoka mataifa ya nje wakija ndio hivyo yanakua makazi yao hadi wanazeeka huku huku na wabongo wakipangiwa huko mbali wanaenda kuzeekea huko hukoWale ni maajenti wa roma.
Tuliza mshono mtoto wa mama mi sio level yako.Si umtaje ndorobo tu, unajifichaficha nini sasa.
Kumbe kuna level humu.Pole mkuu kwa usumbufu.Tuliza mshono mtoto wa mama mi sio level yako.