Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

😅😅Wazee wa Phd za kupewa hata kuandaa ripoti hawajui .
Kumbe hio Dkt. ni ya kupewa kiheshima hajaenda kubukua?

Huyu Mzee Mufti & Shekhe Dkt. Mkuu Abubakar Bin Zuberi Mimi namkubari kuna kile kipindi cha Ramadhan alikua anafundisha safi sana huyu sijajua elimu yake tu Ila yupo vizuri
 
NIMESOMA SEMINARY , SAYU SAYU PRE-SEMINARY 2009 MASWA , NYEGEZI SEMINARY , 2010-2013 , JIMBO LA MWANZA , JUST KUONGEZEA TUU , SIKU HIZI HAKUNA. PREPARATORY SEMINARY MAANA SERIKALI ILIFUTA UTARATIBU HUO WA KANISA PROBABLY IN 2016 HIVI
 
Wengi wanahonga pesa hwana cha maana 😅😅😅..Hiyo ndo bongo unaweza kucheka kabisa.
Ila yupo vizuri Mimi nilikua natenga hadi mda wangu nafuatilia mafundisho yake, kilichonivutia zaidi ni kitu kimoja tu yeye kwenye mafundisho yake alikua anataja MUNGU yaan anasema ndugu yangu ukifanya hivi MUNGU hapendi ukifanya hivi MUNGU anachukia ukifanya hivi na hivi unamkosea MUNGU

Ni Mwalimu (au tuseme Maalim)
 
Ila yupo vizuri Mimi nilikua natenga hadi mda wangu nafuatilia mafundisho yake, kilichonivutia zaidi ni kitu kimoja tu yeye kwenye mafundisho yake alikua anataja MUNGU yaan anasema ndugu yangu ukifanya hivi MUNGU hapendi ukifanya hivi MUNGU anachukia ukifanya hivi na hivi unamkosea MUNGU

Ni Mwalimu (au tuseme Maalim)
Jamaa anaongea ukweli ✍️ namkubali ,ila ishu kama ya elimu haiendani na uwezo wa watu wengi.

Kwa sababu mtu anasoma ili kupata nyadhifa fulani ila maarifa kichwani empty.
 
NIMESOMA SEMINARY , SAYU SAYU PRE-SEMINARY 2009 MASWA , NYEGEZI SEMINARY , 2010-2013 , JIMBO LA MWANZA , JUST KUONGEZEA TUU , SIKU HIZI HAKUNA. PREPARATORY SEMINARY MAANA SERIKALI ILIFUTA UTARATIBU HUO WA KANISA PROBABLY IN 2016 HIVI
Kwa hio ile Pre Form One haipo pale kabla ya kuingia Form One hio ni kwa Seminary Ndogo Ila ukiingia Seminary Kuu kabla ya kuanza Miaka 4 ya Falsafa unapigwa kwanza Mwaka 1 wa Maandalizi
 
Kwa hio ile Pre Form One haipo pale kabla ya kuingia Form One hio ni kwa Seminary Ndogo Ila ukiingia Seminary Kuu kabla ya kuanza Miaka 4 ya Falsafa unapigwa kwanza Mwaka 1 wa Maandalizi
Mwaka mmoja wa maandalizi una kaa jimboni kwako kwa askofu wako , muda huo akikufanyia mchakato wa kukupeleka. Senior seminary , hapa mpaka cost ana zi ascertaine , kujua ni kiasi gani maana wanakuwaga wengi hata 30 kama idadi au zaidi.......ila dah hiki kipindi cha mwaka mmoja utaangaliwa mpka the way unavyo behave kula , maana mnakula meza moja na askofu , ole wako weeeee mjaza sahani ka mlima kilimanjaro....hahhhahhhhh.........MOSTLY WANAANGALIA HALI YA NDOA YA WAZAZI WAKO (IF KAMA WAKO HAI) ILA KA WAMETENGANA MHHH UNAWEZA SOTA HATA 2 OR MORE ASEEEEEEE







WANANGU. NILOSOMA NAO WENYEWE WAKAUNGA NJIA KUU NOW WAMEBAKIZA 1 YEAR TUU WAWE ORDAINED PRIESTHOOD
 
Kwa hio ile Pre Form One haipo pale kabla ya kuingia Form One hio ni kwa Seminary Ndogo Ila ukiingia Seminary Kuu kabla ya kuanza Miaka 4 ya Falsafa unapigwa kwanza Mwaka 1 wa Maandalizi
Serikali iliifuta ile pre form 1 ya mwaka mzima then unaingia junior seminary , just ni kuwa mitihani huwa inaandaliwa tuu ya kujiunga seminary kutoka darasa la 7 (kwa sasa maana kuna new changes sijui la 6 mwisho )
 
Mwaka mmoja wa maandalizi una kaa jimboni kwako kwa askofu wako , muda huo akikufanyia mchakato wa kukupeleka. Senior seminary , hapa mpaka cost ana zi ascertaine , kujua ni kiasi gani maana wanakuwaga wengi hata 30 kama idadi au zaidi.......ila dah hiki kipindi cha mwaka mmoja utaangaliwa mpka the way unavyo behave kula , maana mnakula meza moja na askofu , ole wako weeeee mjaza sahani ka mlima kilimanjaro....hahhhahhhhh.........MOSTLY WANAANGALIA HALI YA NDOA YA WAZAZI WAKO (IF KAMA WAKO HAI) ILA KA WAMETENGANA MHHH UNAWEZA SOTA HATA 2 OR MORE ASEEEEEEE







WANANGU. NILOSOMA NAO WENYEWE WAKAUNGA NJIA KUU NOW WAMEBAKIZA 1 YEAR TUU WAWE ORDAINED PRIESTHOOD
Ila unaweza ukarudi ukaomba uendelee na masomo ya Falsafa au we upadre no
 
Dah kudadeki mie form 1 , nilikuwa na gonga ngizi maana malenge lenge ya usingizu yalinizidia mzee ila nkawa nazoea daily hivo hivo hahhhhhhhjhh
Ndio unafika mda unazoea tu Ila wengine wakimaliza six basi aendelei na Falsafa anaishia hapo
 
Ndio unafika mda unazoea tu Ila wengine wakimaliza six basi aendelei na Falsafa anaishia hapo
Weeee. Sekta hiyo ni wito aseeeeeee maana. Padri ni mali ya kanisa , na ndio maana hakienda kwao hata kuzika tuu mzazi wake haruhusiwi kulala nyumbani kwao , analala parokiani aseee


Na hata padri akifa anazikwa na. Askofu wake / jimboni au any seminary around that jimbo.....
 
Back
Top Bottom