Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

Elimu kuhusu Padre na Upadre wa kanisa Katoliki

huu uzi umekaa kimtego sana kwa wafia dini.
kama nawaona vile wanavyoumizwa na kiwango cha juu cha elimu ya mapadre na maaskofu.

wanajiuliza weingie kwa hoja ipi ili kuuvuruga uzi. waingie kwa hoja za mfumo kristu,hapana.

waingie kwa hoja za walaka wa TEC kuhusu bandari, hapana. waingie kwa hoja yesu sio Mungu, hapana.

yaani uzi umewavuruga mno. asante sana mleta mada kwa uzi bora. endelea kutupa maarifa.

NB:
linapofika suala la knowledge, kwanini jesuits priest wanachukuliwa kama watu wenye upeo wa hali ya juu sana ndani ya ukatoliki?. je mfumo wao wa kutafuta maarifa unafanana na mifumo wanayopitia mapadre wa mashirikia mengine au wa kwao upo tofauti?.

lakini pia, kwanini mapadri wa mashirika mengine wanakuwa inferior sana mbele ya mapadre wa jesuits?, ni kama wanaingiwa na uoga fulani. kuna siri gani hapa?.
 
Kusema ukweli njia ya kuufikia Upadre siyo nyepesi hata kidogo. Bahati nzuri nilijaribu, na mwisho wa siku nikaishia tu Junior Seminary.

Ila matunda niliyovuna nikiwa Seminarini, hakika yananisaidia mpaka leo.
Hongera..
 
Lakini pamoja na yote haya inasikitisha mapadre wengi siku hizi hawaishi maisha ya kiwito na utawa kama jinsi mafundisho yanavyowataka wawe. Wengi wamekengeuka na kuyaingiwa na tamaa ya kidunia.
Ubabe, kudhuruma, uzinzi, uasherati na kutaka kumiriki mali.
Mapadre wengi wamewekeza kwenye biashara ya vileo na guest house. Huko ndo kwenye chimbuko la uasherati na mambo ya hovyo ya kidunia.
Siongei kiushabiki, chuki au kuwaponda ila iko wazi fuatilieni kwa ukaribu kila jimbo alikozaliwa padri ndiko wameficha uchafu wao. Wana machawa wao ambao wanajazwa viburi na jeuri na hawa mapadri. Wanadhurumu ardhi za wanyonge na hadi kuua kabisa tena hadharani. Mwaka jana mdogo wake padri kampiga mtu risasi na kumuua mteja kwenye bar inayomirikiwa na padri huko Turiani. Lakini padri kaingilia kati mdogo mtu yupo uraiani anatamba. Bar na guest bado zinafanya kazi.
 
[emoji16][emoji16]hii hii ambayo watoto wa miama 6 wanaiimba,nawewe umekariri yote na unaita ni neema.
unaelewa hata kidogo kweli!!!

kuna mtu anitwa christian prince,yule ndiye kafanya nijue kumbe hakuna muislam hata mmoja anaye hifadhu Qurani akiwa kaielewa[emoji23][emoji23][emoji23]

unasomewa aya,unaulizwa ulichoelewa unasahihishwa na kupewa maana yake neo kwa neno unapanick unabaki kushangaa live live[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inauma kusifia mme mwenzio nakutukana wengine haliyakua nikiraza
 
Kitendo cha kuhifadhi quran yote kichwani hata padre hajawahi gusa hapa ila uislam unasema ficheni nema zenu maana kuna watu wanakijicho


UJINGA NI KIPAJI.

mapadre wanasoma Hadi Islamic religion.

Quran ni kitabu kidogo mno kinaweza kikaingia mala 50 ya BIBLIA.

Mfano tu zaburi ya BIBLIA ni kubwa KULIKO Quran.
 
HAKUNA MUISLAMU ASIYEJUA KUWA UISLAMU ULIANZISHWA NA PADRE WA KANISA KATOLIKI.

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo padre wa KANISA katoliki alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.

Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
 
Viongozi wa dini wa Katoliki wote ni wasomi wa juu tangu Uhuru kwa mifumo yao jinsi walivyojiwekea.

Tena sio usomi wa kuungaunga bali ni ule wa hali ya juu sana.

Sio kama hawa jamaa wa mwendokasi na wale wa dini nyingine.

Ndio maana wako imara siku zote hawakurupukagi kwenye mambo kimhemko.
Ukisema "wote" napinga. Kuna padre mmoja alikuja chuoni kwetu kupata kusomea course ya udaktari. His level of intelligence was very low, mitihani anadesa, ufaulu wa chini sana. Sema kuna favors hua wanapewa na lecturers tukashangaa kamaliza na mpaka sasa hatujui yuko wapi. Ila hakua smart upstairs kabisa kwenye hii taaluma ya udaktari, si kinadharia wala ki vitendo.
 
HAKUNA MUISLAMU ASIYEJUA KUWA UISLAMU ULIANZISHWA NA PADRE WA KANISA KATOLIKI.

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo padre wa KANISA katoliki alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.

Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu.
Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?
 
Kitendo cha kuhifadhi quran yote kichwani hata padre hajawahi gusa hapa ila uislam unasema ficheni nema zenu maana kuna watu wanakijicho
Hujaelewa wewe soma vizuri
Akimaliza Falsafa kwa Miaka 3 na kupata Degree, ataendelea na Masomo ya Theology ambako atasoma Maandiko Matakatifu (Biblia) kwa undani, Sakramenti, Maisha ya Kiroho, Maadili ya Kanisa, Imani ya Kikristo na 👉Imani za Dini nyingine, Uchungaji, Liturujia, Historia ya Kanisa, Sheria za Kanisa, Katekesi na mengine.
Maana yake hata hio Qur'an na historia ya Waislamu Mapadrii wanajua nje ndani usiwaambie KITU na ukohitaji wakusimulie hautachoka kuwasikiliza hatua kwa hatua mwaka baada ya mwaka tukio baada ya tukio na wanatema hayo kutoka kichwani sio kwamba wamenakiri kidesa sehemu wanadukua maneno na kuibiaibia sentensi eti wanasoma sehemu zile walkingCyclopedia sio mchezo
 
Hahaa haa . ilikuwaje mkuu uka amua kufuata wito mwingine
Kuishi maisha ya kinafiki ya useja ni mtihani kwa Mapadre walio wengi. Hivyo na mimi sikupenda kuishi na hiyo dhambi kwa kweli.

Binafsi nitafarijika siku Mapadre wakiruhusiwa kuoa kama Wachungaji wa madhehebu mengine. Na Watawa nao waruhusiwe pia kuoa/kuolewa, ili kupunguza hizi kashfa zinazo liandama Kanisa.
 
Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?

Sikukuu zote kwa KIARABU ni Idi.
Bible ya kiswahili imechukua maneno MENGI ya KIARABU. (Kiswahili)

Ukienda kwenye version ya kiingeleza king James inasema.

Hosea. 9:5.

What will ye do in the solemn day, and in the day of the feast of the LORD?
 
Hosea 9:5
Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana?

Kwani kusujudu ni kufanya nini??

Ni Heshima au Ibada??
Yesu Ametahadharisha sana kusujudu na kupata alama usoni(sigda)

Revelation 14:9-12
[9]Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake,

[10]yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.

[11]Na moshi wa maumivu yao hupanda juu hata milele na milele, wala hawana raha mchana wala usiku, hao wamsujuduo huyo mnyama na sanamu yake, na kila aipokeaye chapa ya jina lake.

[12]Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.

Tunaona watu wanasujudu na kupata sigda ukiwauliza kuhusu hiyo sigda wanakujibu hiyo ni tochi! Cha kushangara Mungu ni Nuru hiyo tochi ya kumulika kuzimu Wanako enda?? Ref!; Suratul mariam.71!

Jee shetani uchu wake wa kusujudiwa uliisha??
Kawapata wa kumsujudia.
 
UJINGA NI KIPAJI.

mapadre wanasoma Hadi Islamic religion.

Quran ni kitabu kidogo mno kinaweza kikaingia mala 50 ya BIBLIA.

Mfano tu zaburi ya BIBLIA ni kubwa KULIKO Quran.
Ahahahaaaa inauma sana kuona anaejiita msomi amevaa lisanamu shingoni au anaenda kulipigia magoti eti huyu ni mungu hapo unabaki unajiuliza alisoma ili kuondoa ujinga au kuongeza ujing
 
NB:
linapofika suala la knowledge, kwanini jesuits priest wanachukuliwa kama watu wenye upeo wa hali ya juu sana ndani ya ukatoliki?. je mfumo wao wa kutafuta maarifa unafanana na mifumo wanayopitia mapadre wa mashirikia mengine au wa kwao upo tofauti?.

lakini pia, kwanini mapadri wa mashirika mengine wanakuwa inferior sana mbele ya mapadre wa jesuits?, ni kama wanaingiwa na uoga fulani. kuna siri gani hapa?.
Mapadre wanasoma Miaka 9 baada ya kumaliza Form Six

Mwaka 1 wa matayarisho, Miaka 4 ya Falsafa, Miaka 4 ya Tauhidi na Mwaka 1 wa Uchungaji

Jumla inakua imetimia miaka 9 wakiwa na degree 2 halali ndio wanapewa upadrisho

Baada ya hapo wanaanza shughuli ya upadri na uchungaji
 
Back
Top Bottom