Ni kweli Nape Nnauye FORM SIX alimalizia NSUMBA HIGH SCHOOL MWANZA na hakufaya VIZURI ni ile FOUR ya point moja kuwa 0 ---- Lakini CCM wakampeleka INDIA kupata Degree
Riz1 yeye alikwenda LONDON kwa LLM -- akafeli vibaya mwaka wa kwanza; kumbe UD alikuwa anaibiwa MITIHANI
Mtaishia kupiga kelele ila Nape ndiye huyo ana Masters sasa asiyeridhika na anywe sumu; Riz1 tukubali alifanya vibaya lakini si angalau ana Bachelor? John Mnyika ana cheti?
Chama
Gongo la mboto DSM
Last edited by a moderator: