Elimu ya Nape Nnauye

Elimu ya Nape Nnauye

Ni kweli Nape Nnauye FORM SIX alimalizia NSUMBA HIGH SCHOOL MWANZA na hakufaya VIZURI ni ile FOUR ya point moja kuwa 0 ---- Lakini CCM wakampeleka INDIA kupata Degree

Riz1 yeye alikwenda LONDON kwa LLM -- akafeli vibaya mwaka wa kwanza; kumbe UD alikuwa anaibiwa MITIHANI

Mtaishia kupiga kelele ila Nape ndiye huyo ana Masters sasa asiyeridhika na anywe sumu; Riz1 tukubali alifanya vibaya lakini si angalau ana Bachelor? John Mnyika ana cheti?


Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Watoto wengi wa wakubwa wanabebwa kwenye elimu, inawezekana Nape ni miongoni mwao! Sijui kama atajitokeza hapa!!
 
haya wale mliosoma nsumba pale nyegezi mwanza ebu tupeni detail za kijana wetu
 
hivi bado tu hajajitokeza yaelekea "lisemwalo lipo kama halipo lipo nyuma laja......."
 
Kumbe Baba yake nape mnamjua sasa mapovu yote yalikuwa ya nini

Sidhani Kama hapa JF kuna mtu ambayo Ana Kibaki cha kumpangia Nape Baba.....tatizo la Nape ni Ndugu zake kina Mwate,Samora,Mussa...et al wamemkana hawamtambui ( nawezekana wana hoja au ni wivu tu kwakuwa amekuwa mwanasiasa anayekuja juu )....sidhani Kama kuna mtoto "orijino" wa Nnauye amekuwa mwanasiasa Zaidi ya nape
 
chama najua wewe ni swahiba wa @nnauje jr hebu mshauri basi aje atoe details zake za kutosha juu ya elimu yake. Kipaji cha uongozi ni tofauti na elimu jamani.

Mbona John Mnyika kafanya hivyo na kasema kweli hakumaliza na sasa kila mtu anajua Mnyika siyo grafuate. Ni bora kama Nape alianzisha jambo hilo nae aje alisemee kwa sababu ni membef humu na kwa hali ilivyo kauli yake inahitajika.
 
Last edited by a moderator:
chama najua wewe ni swahiba wa @nnauje jr hebu mshauri basi aje atoe details zake za kutosha juu ya elimu yake. Kipaji cha uongozi ni tofauti na elimu jamani.

Mbona John Mnyika kafanya hivyo na kasema kweli hakumaliza na sasa kila mtu anajua Mnyika siyo grafuate. Ni bora kama Nape alianzisha jambo hilo nae aje alisemee kwa sababu ni membef humu na kwa hali ilivyo kauli yake inahitajika.

Mkuu Mzee wa Rula
Mbona unataka kulazmisha mambo? Mimi Nape Nnauye namsoma JF hatujuwani wala hatuna sababu za kukutana; sasa aweke kitu gani? Nenda Mzumbe University utaliona jina lake ni mhitimu wa Masters; John Mnyika ana kila sababu ya kuja jamvini kuweka mambo sawa kwa sababu alishadanganya; baada ya kushtukiwa ndio amekuja angalau kupunguza makali ya upepo; kama angekuwa mkweli kimemshinda nini kuweka viwango vya elimu yake kwenye tovuti ya bunge?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mzee wa Rula
Mbona unataka kulazmisha mambo? Mimi @Nnauye Jr namsoma JF hatujuwani wala hatuna sababu za kukutana; sasa aweke kitu gani? Nenda Mzumbe University utaliona jina lake ni mhitimu wa Masters

Chama
Gongo la mboto DSM

chama sorry kwa kufikiri upo kama Nape Nnauye karibu kumbe na wewe unamsoma na kumuona majukwaani kama hapa!!

Ok lakini ili kuondoa utata angeanza kuelezea matokeo yake ya form four, six kama alifika na vyote kuvijata akivyosomea na kusema alisomea nini hadi hapo alipofika MA ya Mzumbe itakuwa imekidhi haja.

Hata nime mention labda akiingia anaweza kuja na kujibu hoja ubusy ukipungua.
 
Last edited by a moderator:
chama sorry kwa kufikiri upo kama Nape Nnauye karibu kumbe na wewe unamsoma na kumuona majukwaani kama hapa!!

Ok lakini ili kuondoa utata angeanza kuelezea matokeo yake ya form four, six kama alifika na vyote kuvijata akivyosomea na kusema alisomea nini hadi hapo alipofika MA ya Mzumbe itakuwa imekidhi haja.

Hata nime mention labda akiingia anaweza kuja na kujibu hoja ubusy ukipungua.

Mkuu Mzee wa Rula
Nimekueelewa ila hayo majibu ya Nape Nnauye ya form 4 na 6 yasaidia nini? Hivi sasa akitaka kuomba kazi atonyesha tu amesoma kidato cha 4 & 6 ila vyeti vitavyotakiwa ni digrii na masters yake.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Nyani haoooooni....kiraza tu ndo maana anabwabwaja kuchumia tumbo hehe
 
NAPE anapaswa kafahamishwa kuwa hata anaowasujudu wanamdharau,hiyo ni aibu kwa kijana yeyote mwenye fikra chanya,ushauri wa bure kwako,Kuwa makini unakosea sana.
 
Riz One ni kilaza na hawezi kujibu chochote kwani kama sio Beno Malisa kumsaidia pale UDSM asingemaliza na hata sasa anamtegemea sana Beno kumuandikia barua za kiingereza hata nje ya nchi anakwenda na Beno na ndie msemaji wake yeye anajua hi na how r u too mengine Beno ndio anajibu ,Bila Beno Riz One na yule dada yake aliyepata sifuri Feza Sec hawatofautiani

Huu mwingine ni uzushi live,huyo Beno na Riz One tumesoma nao same class na uwezo wao ni wa kawaida sana,so wala usimfagilie Benno..wako close because of mambo yao ya siasa tu
 
Nape ni wa kupuuza tu,tusipoteze muda mwingi kumjadili kihiyo na ka-digree kake ka India baada ya kufeli sekondari!
 
Yaani Nape alipata four kasoro moja kuwa zero pale Nsumba? Sasa kwanini tusisaidiane kupigana ili tubadili mfumo wa huu unaowafanya kina Nape wapate division four kwa miaka minne?
 
Hivi hakuna hata wanadarasa wa Nape humu jamvini...au ndo wote wako ''inje ya nchi''?
 
Mkuu Mzee wa Rula
Nimekueelewa ila hayo majibu ya Nape Nnauye ya form 4 na 6 yasaidia nini? Hivi sasa akitaka kuomba kazi atonyesha tu amesoma kidato cha 4 & 6 ila vyeti vitavyotakiwa ni digrii na masters yake.

Chama
Gongo la mboto DSM
mkuu inaelekea ww hujawah kuajiriwa/ au hujui/ au unadanganya kwa maksudi.

Unapoomba ajira wanataka vyeti vyako vyote vya elimu, f4,f6, chuo nk, mpaka wakati mwingine wanataka vyet vya kuzaliwa.

TUWEKEENI NO ya simu Ya NapeTUMRUSHIE SMS kama tulivyofanya kwa supika na naibu wake.
 
Back
Top Bottom