Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 20,648
- 17,772
Eliud is in Guinness Books of Records. I know you don't like it but itabidii uzoeeWeiterleitungshinweis
www.google.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eliud is in Guinness Books of Records. I know you don't like it but itabidii uzoeeWeiterleitungshinweis
www.google.com
Ndio mkuuDuhhh kama 42 km ama?
Hawaitambui but wamesema ni record mpya. So who are you to dispute it?This is not an IAAF record.
Sasa hata ukisema uwaamini IAAF, wao wenyewe hawaitambui hii kama world record.
Unaelewa hilo?
Bora kutumia viimoji kuliko kutukana bila sababu,
Wanaotoa dozi wakiitwa na wewe utatoka kweli,
Acha matusi au tumia tafsida kama sisi [emoji23][emoji23][emoji23]
Waliokimbia nyuma ya wenzao walipangwa mahsusi kupata advantage ya kukingwa dhidi ya upepo?Jibu swali jomba...je wale wanaokimbia nyuma wa wenzao tusemeje?
Manake kulingna na logic yako uliyoiokota CNN..waliopo mbele yake walizuia baridi..
Sasa mbna wale hukaa nyuma ya wenzao hawshindi marathon km kigezo ni baridi..
NO HUMAN IS LIMITED
Eliud is in Guinness Books of Records. I know you don't like it but itabidii uzoee
Rekodi mpya ya nini?Hawaitambui but wamesema ni record mpya. So who are you to dispute it?
Hahaa mavuvuzela wa ccm ungesikia wakisema ni juhudi za rais...wakti kenyata kampa 60m KSH kama zawadi ingekua jiwe angempa 10m na kiwanja burigiHuku Bongo sipati Picha yaani CCM nazani wakina Polepole wangekuwa kila Dakika wanafanya Press na kusema huyo anaiwakilisha CCM.
Sijasikia Mkenya akisema eliud kipchoge anawakilisha chama fulani.
CCM jifunzeni kutoka kwa Eliud kipchoge. Pale anawakilisha nchi sio Chama
Waliokimbia nyuma ya wenzao walipangwa mahsusi kupata advantage ya kukingwa dhidi ya upepo?
Kwa nini hizi mbio hazitambuliwi kama sehemu ya records za any recognized international body of athletics?
Rekodi mpya ya nini?
Hata wewe unaweza kuweka rekodi mpya ya kunya.
What is the difference between what Kipchoge did and doping?
Walio na sifa za kitabibu na usomi wa saikolojia kuagua nani chizi na nani si chizi, maadili ya taaluma yao yanawakataza kuagua hivyo mitandaoni kuhusu watu ambao hawajakutana nao.wewe ni chizi mda mrefu tu akili yako haipo sawa
Eliud is in Guinness Books of Records. I know you don't like it but itabidii uzoee
Rekedi ya kukimbia kilomita 42 chini ya saa mbili. Wewe endelea kukana as known sport organizations are recognizing his record.Rekodi mpya ya nini?
Hata wewe unaweza kuweka rekodi mpya ya kunya.
What is the difference between what Kipchoge did and doping?
Hongera hata JF watu wametoa. Inaweza kuwa sehemu ya diplomasia tu.Kawaulize hao IAAF walio post...manake wametoa hongear kw kukimbia 42km kw 1:59:40
Hongera hata JF watu wametoa. Inaweza kuwa sehemu ya diplomasia tu.
Mimi naongelea world record, si hongera.
IAAF wameitambua hii time ya Kipchoge kama a marathon record?
Hahaha.Eliud is in Guinness Books of Records. I know you don't like it but itabidii uzoee