Tenda tena? mi nilidhani kwa shughuli hii kubwa na ukitambua wazi mi ni mtu wako ungejitolea ukumbi bureee
Pesa kwanza undugu baadaye...heheh usinishangae kuna siku niliongezewa damu na madaktari kumbe ilikuwa ni damu ya Mchaga mmoja hivi.
Na wewe kama raisi una lipi la kusema
Na wewe kama raisi una lipi la kusema
Hahahaaa Avemaria unataka kumpindua?
Halafu tangu jana nikikumbuka naangua kicheko ujue hahahahahaaa
Wera weraaaaaaaaa
Ndio mana yake...kuna watu wanajibinafsishia vifanyio viiiiingi hadi hawavitumii vizuri....sasa si bora wawagawie na wenzao wenye ukame navyo