Elizabeth, kabla ya kifo chako uliwahi kuwaomba msamaha watu weusi?

hapa hatumsemi marehemu ila kuna msemo unasem UKINYA UNUKE usitegemee kupewa sifa wakati umefanya mabaya..m
Mimi ni Pan-Africanist ila hata kuonyesha mabaya wakati tayari ni marehemu ni useless.

How long will Africans continue being inferior?

Hata hapa bongo kuna watu kipindi JPM yupo hai walifyata mikia mfano:Nape ila JPM alipokufa wakaanza kuropoka wakiyaita mabaya.

Hizi hoja zenu ni useless na zipo chini ya kivuli cha uoga.Kwa nini hukuyasema haya kipindi yupo hai?

Every wise African knows how the mabeberu were and are discriminative, exploitative and brutal to Africans.

All in all dark skin has got its negativity as well as white skin!
 
not useless gee... bado wapo ai na wao wanajukum km marekan anavyolip kwa aliyofanya iloshima
 
not useless gee... bado wapo ai na wao wanajukum km marekan anavyolip kwa aliyofanya ilosoma
White people's aids have contributed nothing to ustawi wa nchi za kiafrika.

Mfano rahisi:Tangu nchi nyingi za kiafrika zianze kupewa mikopo ndiyo exploitation ya rasilimali za taifa za Afrika zinaibiwa.

Swali:Tatizo ni nini?
Jibu:Tatizo ni waafrika wenyewe(wanapokuwa viongozi) pamoja na wazungu.
 
tukiwalaumu viongozi wetu kutufikisha hapa tulipo . sio lesson et tusiwalaumu white peoples....

viongozi wanatufelisha ila white peoples walitufelisha
 

Sio weusi tu, hata waarabu n.k, refer kilichotokea iraq
 
Laiti huu mjadala ungeletwa wakati huyo malkia wao yu hai,ningetoa mchango wa kimawazo nikiwa kama Pan-Africanist.

Ameshakufa,kumuongelea kwa kumuhukumu ni kama kutaka kukausha bahari,haileti mabadiliko.

Laiti angelikuwa hai...ningeshusha NONDO.
Au co
 
Wewe ndiyo PIMBI..
Mimi ni pimbi but at least naijali asili yangu na najitambua.

Wewe unaejiona mjanja kujipendekeza kwa hao ngozi nyeupe jua wao wanakuona nyani tu,kwa maneno mengine wakipita sehemu wakakukuta wewe na ngozi yako ya mkaa pembeni yako pana mbwa na paka mmejificha mvua chini ya mti watasaidia hao wanyama wakuache hapo zikikukaa vizuri kichwani.
 
Dunia haiko fair.
Binafsi nadhani ni mihemko kumwaga chuki mtandaoni dhidi ya bidada Eliza.

Waafrica tumenyanyasana sana baada ya utawala wa hawa watu kiasi sioni tofauti yoyote.

Hebu tuombane misamaha sisi kwa sisi halafu baada ya hapo tudai misamaha kutoka ughaibuni.


Aibu zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…