Kida ze great
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 242
- 288
🙏🙏Elon Musk angebaki bara mfu ili asingekuwa kama alivyo leo , mazingira ya nchi za Afrika ni ya kishenzi , nchi hizi zinaongozwa na watu wenye mtindio wa akili na mifumo yake ni kama ya tawala za kale ,enzi za ujima .