Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Kikubwa kwa vita za sasa zinapoelekea zinahitaji jeshi kutumia gharama ndogo ila kuleta impact kubwa, na drones zinakuja kutikisa soko la hizo ndege,,,,kwa sasa hadi kuna majeshi yameanza kubadilisha mafunzo na formations sababu ya drones na hasa walivyoona matumizi yake kule Ukraine na huku kwa Israel na wenzakeDrones zinaangushwa na jammer
Ni sawa na mtu aseme unateka ardhi bila infantry ndege vita zitabaki kuwa na umuhimu wake kwenye battle groundDrones zinaangushwa na jammer tu
Huyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.Nakumbuka na wanangu Bwana Utam and 100 others
Tulisema sana haya ma F-35 ni jina tu hayana lolote pro-US wakawaka sana.
Haya Musk naye kayakosoa vikali hamna ndege vita humo
Ujumbe uumfikie T14 Armata na jopo lake la akina Proved na Baltasar Ebang Engonga
Nilikua namueleza sana hili swahiba wangu T14 Armata kwamba F35 pale marekani kapuyanga narudia tena kumwambia katika ndege ambazo marekani kapotena basi ni hayo makopo hayo madege ni buuurree kabisaa ingawaje wamarekani wa jf watapingana mpaka na ElonNakumbuka na wanangu Bwana Utam and 100 others
Tulisema sana haya ma F-35 ni jina tu hayana lolote pro-US wakawaka sana.
Haya Musk naye kayakosoa vikali hamna ndege vita humo
Ujumbe uumfikie T14 Armata na jopo lake la akina Proved na Baltasar Ebang Engonga
Bora apewe pengine anaweza akaifanyia jambo ila kwa haya machuma chuma ya sasa hamna jamboHuyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.
DOGE Anapewa majibu mjarabu huko ubundini kwakeHuyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.
Drones zinaangushwa na jammer tu
anaweza uawa huyo jamaa maana madon wa silaha marekani hawatakagi kuchafuliwaHuyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.
Kodi yao ni kiasi gani kwenye "materials"?80% ya products za US ni overpriced kwakua kodi yao nikubwa kwenye materials
He is so ambitious to become the first USD individual trilionaire.Bora apewe pengine anaweza akaifanyia jambo ila kwa haya machuma chuma ya sasa hamna jambo
He is so ambitious to become the first USD individual trilionaire.An
anaweza uawa huyo jamaa maana madon wa silaha marekani hawatakagi kuchafuliwa
Madon wa silaha Marekani ni kina nani? Unaweza kumtaja hata "don" mmoja wa silaha wa Marekani ?An
anaweza uawa huyo jamaa maana madon wa silaha marekani hawatakagi kuchafuliwa
Ni beef hilo Mzee siasa mchongo mchafu uzuri huko hutosikia Elon Musk katekwa na wasiojulikana watajulikana ndani ya nusu dakikaHaya madude ni makopo Lockheed Martin wamepiga pesa wamesepa
Huyo anataka hiyo kandarasi. Wewe endelea kupiga porojo.