Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Sawa ila kuhusiana na hio F35 kausema ukweliHe is so ambitious to become the first USD individual trilionaire.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila kuhusiana na hio F35 kausema ukweliHe is so ambitious to become the first USD individual trilionaire.
Ni beef hilo Mzee siasa mchongo mchafu uzuri huko hutosikia Elon Musk katekwa na wasiojulikana watajulikana ndani ya nusu dakika
80% ya products za US ni overpriced kwakua kodi yao nikubwa kwenye materials
He doesn't have the authority, he has the intelligence and resources to make him number one.He is so ambitious to become the first USD individual trilionaire.
Defense contractors wa Marekani wameajiri Wamarekani milioni 2 na wanauza hisa zao katika masoko ya hisa ya Marekani.Hawawezi
Hata Pentagon ilishawahi kuwataka contractors wa F-35 waziboreshe hitilafu za hayo makopo hasa upande wa engine
Lakini Lockheed na wenzake wakapotezea kwa sababu ya gharama na wakati wamepiga vibunda vya maana kwenye huo mradi
Elon Musk amekuja kulifufua hilo suala. Pesa za walipa kodi wa Marekani zimeishia kwa defense contractors pockets
Defense contractors wa Marekani wameajiri Wamarekani milioni 2 na wanauza hisa zao katika masoko ya hisa ya Marekani.Licha ya hayo Marekani kuna upigaji sana ni vile wengi hawajui hasa huwa wanafanya cost plus contracts kwenye construction, defense n.k
Halafu kuna lobbying, non-profit projects
Pentagon kwa mwaka wa saba mfululizo wamefeli kwenye financial audit ndio ujue MIC (Military Industry Complex) ya Marekani kuna upigaji
Kuna kipindi Pentagon audit waligundua kuwa Boeing wanaiovercharge Air Force wanapoiuzia parts au spare za madege yao makopo. Hebj imagine screw tu walipandisha bei kwa 10,000%
Unategemea asifie wakati anataka kandarasi hiyo hiyo? Lazima ajifanye kuonesha madhaifu ili awe considered. Wafanyabiashara sio wa kuamini when it comes kuwania kazi.Sawa ila kuhusiana na hio F35 kausema ukweli
Kwa hiyo wakiwa registered kwenye soko la hisa ndio hawafanyi upigaji?Defense contractors wa Marekani wameajiri Wamarekani milioni 2 na wanauza hisa zao katika masoko ya hisa ya Marekani.
Unajua T14 Armata humwambii kitu kuhusu Marekani? Ukitaka jamaa akuandikie magazeti humu, basi mbishie kuhusu Amerika. Hapo lazima utalia tu. Nadhani anakula posho ndefu sana ya Joe na Kamala.Nilikua namueleza sana hili swahiba wangu T14 Armata kwamba F35 pale marekani kapuyanga narudia tena kumwambia katika ndege ambazo marekani kapotena basi ni hayo makopo hayo madege ni buuurree kabisaa ingawaje wamarekani wa jf watapingana mpaka na Elon
Unajua T14 Armata humwambii kitu kuhusu Marekani? Ukitaka jamaa akuandikie magazeti humu, basi mbishie kuhusu Amerika. Hapo lazima utalia tu. Nadhani anakula posho ndefu sana ya Joe na Kamala.
Kwa hiyo wote ni wajinga kwamba hawaoni ukweli wa hoja? Mbona mnaandika mambo kisongombingo sana nyie? As if mtu mwenye akili ni Musk pekee?Unategemea asifie wakati anataka kandarasi hiyo hiyo? Lazima ajifanye kuonesha madhaifu ili awe considered. Wafanyabiashara sio wa kuamini when it comes kuwania kazi.
Itakuwa aliomba scholarship huko, Putin akamkatalia. Kwa hiyo chuki zote kazigeuzia Urusi.Na hakuna taifa analokichukia kama Urusi
Anachofanya Musk kwa sasa katika kuonesha madhaifu, ni kupaza sauti ileile ambayo muda mrefu watu wakweli wamekuwa wakisema. Wala hajazungumza jambo jipya hapo.
Urusi na Putin wamefanikisha lengo la Marekani?Ndiyo maana tukawaambieni kwamba Marekani ilitamani vita hivi ili iuze silaha zake na pia kufanyia majaribio silaha zingine. Hapo bado sijatacha uchafu na ukatili wa kibinadamu unaoendelea Ukraine. Marekani kwa asili ni bepari mfanyabiashara. Lengo lake huwa ni moja tu - kujitanua na kutawala kwa gharama yoyote.
Marekani kwa asili ni bepari mfanyabiashara. Lengo lake huwa ni moja tu - kujitanua na kutawala kwa gharama yoyote.
Nilikupa majibu kule ukakimbia. Sasa naona unataka tuanze upya wakati siku zote hujawahi kuonyesha ni wapi F-35 zinapoteza maana. Unatoa maoni kama watoa maoni wengine, huonyeshi how F-35 ni mbovu. Ninazo sababu chungu nzima za kuonyesha ubora wa F-35 huna hata sababu moja ya kuipinga.Nilikua namueleza sana hili swahiba wangu T14 Armata kwamba F35 pale marekani kapuyanga narudia tena kumwambia katika ndege ambazo marekani kapotena basi ni hayo makopo hayo madege ni buuurree kabisaa ingawaje wamarekani wa jf watapingana mpaka na Elon
Wewe na ndugu yako ungana mseme F-35 ina ubaya gani na inazidiwa na 5th generation gani.Unajua T14 Armata humwambii kitu kuhusu Marekani? Ukitaka jamaa akuandikie magazeti humu, basi mbishie kuhusu Amerika. Hapo lazima utalia tu. Nadhani anakula posho ndefu sana ya Joe na Kamala.