Elon Musk: My wife is a Robot

Heee
 
Hawana ladha hao wala siwez kuwa na hisia.sababu mapenz n hisia
 
hapo kwenye kuangusha mojamoja umeongea aisee 😂
 
Mnamshanga elon musk bure, haya mambo hata kwa waafrika yalikuwepo, kwa wale mliotahiriwa mkiwa wakubwa ukipona tu zoezi la kwanza ni kuchongewa boga tundu saizi yako ulishughulikie kama mwanamke. Baada ya zozi hilo ndio utakuwa tayari umeiva kumshughulikia mwanamke halisi
 
Kumekuwa midoli ya kike ikiwa na mapozi ya kimahaba kabla ya midoli ya musk, ila midoli ya awali hatukuambiwa kama ina kitu ile tamu pale kati. Hii ya musk huenda ikawa na hiyo kitu tamu. Kwanza kuna midoli ya kuchezea watoto yenye sehemu nyeti tayari ipo
 
Mdoli, Tzs 7m, yaani vyumba viwili vya geto au chumba na sebule inajenga.

Sinza makaburini kuna wale wa buku hadi buku tano.

Mh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…