Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Swadakta!Na wanawake nao watapata mme robot?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta!Na wanawake nao watapata mme robot?
Wewe umeleta nini kwenye hii Dunia?Wazungu ambao walileta dini ndio hao hao wanaoleta ushenzi mwingine Africa. Hawa jamaa ni washenzi kila angle
HeeeMtahangaika mtarudi tu, Sisi Og, kuku wa kienyeji ndo tupo.....
Mmeuliza huo mdoli unajua kununa? Unaweza kuomba hela ya vikoba? Unajua kutwerk na kuangusha moja moja? Una gubu? Unaweza kuifinyia Kwa ndani? Unasquirt?
Mtarudi tu....tupo tumekaa paleeee, nyie jihangaisheni.
Sie wenyewe vidildo vimetushinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787] manake hata haviwezi kutuslap kwenye wowowooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] achilia mbali haviombeki hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawana ladha hao wala siwez kuwa na hisia.sababu mapenz n hisiaNimeinukuu mahali, nikaiweka kamusini ili isomeke kwa lugha ambayo wanawake wote wakipita hapa wataielewa vyema kabisaa
-----------------------------------------------------------------
ELON MUSK KUZINDUA MKE ROBOTI
Bilionea Elon Musk na kampuni yake ya Teknolojia wako katika hatua za mwisho za kutengeneza Mke Roboti ( Robot Wives) na uzinduzi Rasmi unatarajiwa kuanza Septemba 2023 na Kwa Nchi za Afrika watapatikana kuanzia mwezi Novemba 2023.
Mke Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Roboti itagharimu karibu Kwa kiasi cha USD $3,144 ambazo ni sawa na Pesa za Tanzania Shilingi 7,416,026.
------------------------------------------------------------------
Ngoja nikachukue mkopo wa kununua wanawake wawili wa bandia
Hapa hakutokuwa na habari za vizinga, midomo mirefu, uchepukaji wala kunyimwa mbususuView attachment 2626970
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Mna helaaa za kununua wakat chips kuku zinawatoa roho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiMna helaaa za kununua wakat chips kuku zinawatoa roho
hapo kwenye kuangusha mojamoja umeongea aisee 😂Mtahangaika mtarudi tu, Sisi Og, kuku wa kienyeji ndo tupo.....
Mmeuliza huo mdoli unajua kununa? Unaweza kuomba hela ya vikoba? Unajua kutwerk na kuangusha moja moja? Una gubu? Unaweza kuifinyia Kwa ndani? Unasquirt?
Mtarudi tu....tupo tumekaa paleeee, nyie jihangaisheni.
Sie wenyewe vidildo vimetushinda🤣🤣🤣 manake hata haviwezi kutuslap kwenye wowowooo🤣🤣🤣 achilia mbali haviombeki hela🤣🤣🤣
Mdoli, Tzs 7m, yaani vyumba viwili vya geto au chumba na sebule inajenga.Nimeinukuu mahali, nikaiweka kamusini ili isomeke kwa lugha ambayo wanawake wote wakipita hapa wataielewa vyema kabisaa
-----------------------------------------------------------------
ELON MUSK KUZINDUA MKE ROBOTI
Bilionea Elon Musk na kampuni yake ya Teknolojia wako katika hatua za mwisho za kutengeneza Mke Roboti ( Robot Wives) na uzinduzi Rasmi unatarajiwa kuanza Septemba 2023 na Kwa Nchi za Afrika watapatikana kuanzia mwezi Novemba 2023.
Mke Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Roboti itagharimu karibu Kwa kiasi cha USD $3,144 ambazo ni sawa na Pesa za Tanzania Shilingi 7,416,026.
------------------------------------------------------------------
Ngoja nikachukue mkopo wa kununua wanawake wawili wa bandia
Hapa hakutokuwa na habari za vizinga, midomo mirefu, uchepukaji wala kunyimwa mbususuView attachment 2626970
Hakuna mzungu alieleta dini Africa;Wazungu ambao walileta dini ndio hao hao wanaoleta ushenzi mwingine Africa. Hawa jamaa ni washenzi kila angle
Kumbe historia hujasoma mkuu, agents of colonialism in Africa walikuwa watu gani hasa???Hakuna mzungu alieleta dini Africa;
Alileta nani?Hakuna mzungu alieleta dini Africa;
Watu wanasugulisha kwenye mikono mikavu bila sabuni au kwenye kirambo chenye nzi ndani sembuse huyo roboti wa moto mwenye utelezi kabisa!Hawana ladha hao wala siwez kuwa na hisia.sababu mapenz n hisia