Elon Musk: Watumiaji wa Twitter kulipa ada ya $8 kila mwezi kumiliki blue tick

Elon Musk: Watumiaji wa Twitter kulipa ada ya $8 kila mwezi kumiliki blue tick

Hii ni bznes lazima awatoze pesa ili Kurejesha alizo nunulia.
 
Ni swala la muda
Aliowatimua wataanzisha tweeter nyingine na hii itakufa kifo cha mende
Anajitoa ufahamu wenzie wanamuangalia tu.
Hajatangaza bado
Mnamlisha maneno
 
Biashara kama hizi Elon angemwachia Mark coz anajua nini anafanya
Kama Elon angejua nini anafanya , basi wasingeiuza PayPal , ili iwe baba wa online payment
Mark utajiri wake umeshuka kwa dollar billion 70, thamani ya meta kwenye soko la hisa inaanguka kila siku, amejiingiza kwenye metaverse kiasi kwamba watu wengi akiwemo wafanyakazi wa meta wanaona kama wanapotea.
Report yao ya hivi karibuni inasema karibu 90% ya watu wanaovisit metaverse hawarudi na kuna baadhi ya sehemu hazijawahi hata kuwa visited.
 
Jamaa ana wenge sana, mipango yake ya kuhamishia watu sayari ya Mars imekwamia wapi?
 
SEI_115349720.jpg
 
mtandaoni, na ilihifadhiwa kwa wale ambao utambulisho wao ulikuwa unalengwa kwa uigaji, kama vile watu mashuhuri, wanasiasa na wanahabari.

Kampuni hiyo ilianzisha mfumo huo mwaka wa 2009, baada ya kukabiliwa na kesi ikiishutumu kwa kutofanya vya kutosha kuzuia akaunti za walaghai.

Lakini Bw Musk anakabiliwa na changamoto kubwa anapofanya kazi ya kurekebisha biashara ya Twitter, ambayo haijachapisha faida kwa miaka mingi.

Screenshot_20221102-085302_Facebook.jpg
Amesema anataka kupunguza utegemezi wa Twitter kwenye matangazo, hata kama baadhi ya makampuni yamekua na wasiwasi kuhusu matangazo kwenye tovuti chini ya uongozi wake.
 
Utambulisho wao ulikuwa unalengwa kwa uigaji, kama vile watu mashuhuri, wanasiasa na wanahabari.

Kampuni hiyo ilianzisha mfumo huo mwaka wa 2009, baada ya kukabiliwa na kesi ikiishutumu kwa kutofanya vya kutosha kuzuia akaunti za walaghai. Lakini Bw Musk anakabiliwa na changamoto kubwa anapofanya kazi ya kurekebisha biashara ya Twitter, ambayo haijachapisha faida kwa miaka mingi.

Amesema anataka kupunguza utegemezi wa Twitter kwenye matangazo, hata kama baadhi ya makampuni yamekua na wasiwasi kuhusu matangazo kwenye tovuti chini ya uongozi wake.

Screenshot_20221102-085302_Facebook.jpg
 
Pro Russia unaeichukia Marekani unapataje ujasiri wa kuchapisha habari ya marekani usiyoipenda ningetegemea utuletee habari za urussi nchi unayoipenda sana.
 
Pro Russia unaeichukia Marekani unapataje ujasiri wa kuchapisha habari ya marekani usiyoipenda ningetegemea utuletee habari za urussi nchi unayoipenda sana
Nawachapishia ili mulipie hizo blue tick
 
Elon ana hiyo kashfa ya kuwafanyisha kazi employees wake to the breaking point we muache tu, ngoma ikivuma sana inachanikq

Mwenzie Lex Luthor (Bezos) mbona hana mbwembwe sana
Huyo mwenye mbwembwe si ndio tajiri wa kwanza wa dunia.
 
Biashara kama hizi Elon angemwachia Mark coz anajua nini anafanya
Kama Elon angejua nini anafanya , basi wasingeiuza PayPal , ili iwe baba wa online payment
Hahaha...huyu huyu mark anayefirisika? Hisa za meta zinashuka kila siku?
Kashfa za kutojali privacy zimamwaribia mpaka advertisers wamemkimbia?
Huyuhuyu anayemwaga hela zote za kampuni kwenye project ya VR ambayo haioneshi mafanikio yoyote??

Kama hujui Mark anaelekea kupotea na kufirisika kabisa...Karata zake zote saivi anazitupankwenye VR metaverse, ikifeli metaverse basi ujue ndo Mark bye bye.
 
Hili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.

Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.

Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.

Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.

Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na mitesla huko
Na huu uchawi wako ndio sababu Africa haiendelei
 
Sio rahisi Kama unavyofikiri
Yani wabongo wengi uwezo wa kufikiri mdogo sana...Sasa kama ni rahisi ivyo kuanzisha twitter nyingine, kwanini Musk alitoa hiyo $44B kuinunua twitter? Si angetengeneza twitter yake mwenyewe kwa $ 1B??
 
Hahaha...huyu huyu mark anayefirisika? Hisa za meta zinashuka kila siku?
Kashfa za kutojali privacy zimamwaribia mpaka advertisers wamemkimbia?
Huyuhuyu anayemwaga hela zote za kampuni kwenye project ya VR ambayo haioneshi mafanikio yoyote??

Kama hujui Mark anaelekea kupotea na kufirisika kabisa...Karata zake zote saivi anazitupankwenye VR metaverse, ikifeli metaverse basi ujue ndo Mark bye bye.

Acha siasa , kwa Sasa kila kampuni hisa zake zimeporomoka ,
Cheki hisa za Netflix
 
Back
Top Bottom