Elon Musk: Watumiaji wa Twitter kulipa ada ya $8 kila mwezi kumiliki blue tick

Elon Musk: Watumiaji wa Twitter kulipa ada ya $8 kila mwezi kumiliki blue tick

Hili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.

Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.

Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.

Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.

Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na mitesla huko
Umelewa?
 
Hili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.

Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.

Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.

Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.

Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na mitesla huko
Tafuta zako ukagawe
 
Ni swala la muda
Aliowatimua wataanzisha tweeter nyingine na hii itakufa kifo cha mende
Anajitoa ufahamu wenzie wanamuangalia tu.
Twitter haifi kirahisi hivyo.
 
Ni swala la muda
Aliowatimua wataanzisha twitter nyingine na hii itakufa kifo cha mende
Anajitoa ufahamu wenzie wanamuangalia tu.
Unaijua historia ya twitter?


Kwa taarifa yako, hapo twitter waliwahi hadi kutimuliwa founders wenyewe akina Jack Dorsey, na twitter haikufa!

Ndio ije kua hawa CEO na COO?


UBER pia walimtimua founder wao, na kampuni haikufa. Steve Jobs pia aliwahi kutimuliwa Apple, na kampuni haikufa. Hilo unalolisema wewe ni dua la kuku asee!


Wazungu sio wajinga!
 
Wale mliotubeza tuliposema huyu ana utoto mwingi ataanza kuonja joto la jiwe
Haya huko wamesema ‘He is not above the Law’
Kunatokota
Elements za kibaguzi zinamsumbua sana.
USA sio South Africa akumbuke hilo…
Kuna social media inakuja kuizidi Twitter
 
Back
Top Bottom