Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Umelewa?Hili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.
Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.
Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.
Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.
Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na mitesla huko
Tafuta zako ukagaweHili lifreemason lililokubuhu halina shukran na fadhila kwenye bara lililomleta duniani kumlea nakumfanya awepo alipo hapo leo. Angalau angeanzisha viwanda vya space x na tesla Africa ili watu wapate ajira. Ama agawe msaada wa dolla billion 100 katika bara letu.
Pia aajiri nusu ya bodi ya Twitter wamatumbi.
Hana msaada wowote kwetu. Msimjadili, kumshobokea na kumshadadadia.
Na sasa hivi waafrika tuwe wachoyo. Tusiwe wakarimu kwa kukaribisha na kuruhusu wageni barani kwetu kuja kuzaa vitoto vya ajabu na kiherehere vikishakuwa na kufanikiwa vinatoroka na nyota zetu nakutusahau.
Naomba kabisa Twitter ifail pamoja na mitesla huko
PoaSasa unataka kulazimisha yame bankruptcy hiyo ni akili au matope, kufanya vibaya kwa kampuni sio ku-bankruptcy
Twitter haifi kirahisi hivyo.Ni swala la muda
Aliowatimua wataanzisha tweeter nyingine na hii itakufa kifo cha mende
Anajitoa ufahamu wenzie wanamuangalia tu.
Unaijua historia ya twitter?Ni swala la muda
Aliowatimua wataanzisha twitter nyingine na hii itakufa kifo cha mende
Anajitoa ufahamu wenzie wanamuangalia tu.