Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muda.....huwezi kwenda against na technologyAfrica atabaki kuwa na akili kama watapinga vitu vya kijinga kama sera za mapenzi ya jinsia moja na replacement ya ya mtu kwa robots ila wakiyakubali hayo marobot basi tu wapumbavu walewale tu.
Kama mwanaume anashindana na mwanamke kwa misuso na kukataana kama wao walivyoanzaga kutukataa basi hatuna akili na hekima kama wao, natunahitaji kuongozwa kama wao. Mama yangu, bibi yangu, dada zangu na ndugu zangu wakike hawezi fananishwa wala kuwa replaced na roboti aisee nitakuwa nimewadharau sana nanitakuwa sina akili kabisa. Aliyenibeba miezi 9 hawezi fananishwa na roboti. Ukiona pesa ya kuoa na kutunza mke huna, acha kuoa pia achana na mapenzi maana hamna shortcut in life, ukiona ipo ujue inakupeleka kwenye maangamizo.
Nahizi mada za kuwadharaulisha dada zetu kwakuwalinganisha na limashine lililotengenezwa na binadamu kiwandani naomba tuziache, tunawadharirisha kwavitu vingi sana ila huku tusifike kama wametuzidi pesa na akili mseme ila sio kuwatukana kama hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]
Kifochema#Yani badala ya hips na mzigo ndo nishike hayo machuma?? Hata wakiweka ngoz mzigo OG ni OG mazee sijashawishika, na likikupiga shoti katikati ya mjegejo? Me bado team human mbususu sanaa
Maadili ya vizinga,? Washindwe na walegeeMazungu ndiyo mashetani yenyewe sasa, inamaana Dada zetu tuliowalea katika maadili mema watapelekewa vipi moto na watazalishwa vipi bila ndoa?
Umesoma shule gani ? Unaelewa maana ya profile pictureKumbe we ni Me?
Unawekaje profile picture "PP" ya kike ilihali we ni Me?
Kumbe we ni Me?
Unawekaje profile picture "PP" ya kike ilihali we ni Me?
Tuko paleeeee🤣🤣🤣Wake maroboti hawaombi hela wala hawadai 50 50.
Musk apewe Maua yake.
[emoji23][emoji23][emoji23] mkae Kwa kutulia.Tuko paleeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na hiyo nyumba ndogo inakuwa roboti au ndio sisi sisi?[emoji23][emoji23][emoji23] mkae Kwa kutulia.
Hawa maroboti hata ukiwa na nyumba ndogo hawakuhoji hoji saaana
Umesoma shule gani ? Unaelewa maana ya profile picture
Kwamba mtayaonea wivu?[emoji28]Tutayavunja vunja
KabisaUshetani mtupu
We ulichozidi Ni kunuka
Tutadaka used.Bei kubwa Sana hiyo million 75,sinaweza kuoa wake wanne nikawapa na mitaji?
Bei kubwa Sana hiyo million 75,sinaweza kuoa wake wanne nikawapa na mitaji?
Huoni kinyaaa?? Shahawa za mwenzio na huyo sio mtu kusema ataoshaa!!?Tutadaka used.
Linabana miguu hapo adi ulifungue na spana, ukilifungua K inagawanyika vipande vipande itabidi unuse hivyo vipande upate stimu. Au linakuchanulia miguu linakufinyia kwa ndani. Maumivu yake sasa ukibanwa hiyo naniliu yako utaomba ufe upumzike maumivu makali fikiria kidole kikibanwa kwenye mlango. Hilo kiboko ya wabakaji maaninah zenu.Kwani robot akikasirika atafanyaje? Si bado atabakwa tuu?