Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

muulizeni musk.mama yake angekuwa robot yeye angezaliwa?hii ndo ile ile mipango ya kupunguza watu duniani.maana wanajua tukigonga maroboti hakuna mtoto atazaliwa
Lkn hiyo haimzuii yeye kuwa creative
 
Kuna muda.....huwezi kwenda against na technology
 
Nataka mwenye chura na awe anavaa kanga moja
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkae Kwa kutulia.

Hawa maroboti hata ukiwa na nyumba ndogo hawakuhoji hoji saaana
Na hiyo nyumba ndogo inakuwa roboti au ndio sisi sisi?
 
Kwani robot akikasirika atafanyaje? Si bado atabakwa tuu?
Linabana miguu hapo adi ulifungue na spana, ukilifungua K inagawanyika vipande vipande itabidi unuse hivyo vipande upate stimu. Au linakuchanulia miguu linakufinyia kwa ndani. Maumivu yake sasa ukibanwa hiyo naniliu yako utaomba ufe upumzike maumivu makali fikiria kidole kikibanwa kwenye mlango. Hilo kiboko ya wabakaji maaninah zenu.
Nimeandika ujinga leo hadi najishangaa kulaa leki. 😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…