Profesa Mgala
Member
- Oct 31, 2018
- 49
- 51
Acha uongo ni $3+ sawa na 7.4M za kibongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzungu anajua kuitengeneza fulsa na kuitumia vilivyo. Kama hili ni kweli, basi ndio majibu ya sera ya haki sawa. Haki sawa waliileta na ndoa nyingi zimecurugika kwa sababu hio na vijana hawataki tena kuoa.Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
nimetoka kukuwaza sasahiv "hivi palina my crush haja comment kweli humu?[emoji848] mara naona hii commentLabda mafuta ya grisi nahisi
Kabisa mkuuTunataka mademu maroboti ambayo K zinabada. Tumechoka kutapeliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah ukipigwa short.....utaongezea mzuka mkuuYani badala ya hips na mzigo ndo nishike hayo machuma?? Hata wakiweka ngoz mzigo OG ni OG mazee sijashawishika, na likikupiga shoti katikati ya mjegejo? Me bado team human mbususu sanaa