Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

Elon Musk yupo hatua za mwisho kutengeneza mke bandia

Yani badala ya hips na mzigo ndo nishike hayo machuma?? Hata wakiweka ngoz mzigo OG ni OG mazee sijashawishika, na likikupiga shoti katikati ya mjegejo? Me bado team human mbususu sanaa
Ghafla linakupiga shoti kisha linakupelekea moto kwenye puru lako kupitia vidole vyake bandia [emoji847]


Hapo ndipo utapokumbuka ile kauli ya "Mungu hadhihakiwi"
 
Kuna watu wanaonekana kama watu kama sisi lakini kusema kweli ni mapepo yaliyovaa mwili wa binadamu! Nina wasi wasi mkubwa sana na watu kama Elon Musk, Bill Gates kama ni watu wa kawaida!
Kabisa, Lucifer atakuwa alipandikiza mbegu zake miilini mwao, ukijagundua uchafu anaoufanya huyo BG nnje ya pazia ni hatari kuliko hata Boko Haram [emoji57][emoji848]
 
Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.

Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.

Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.

Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)

Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz

NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084


Vipi maoni ya timu mbili; Kubali ndoa na kataa ndoa??
 
Hela yako tu unatengenezewa unavyotaka.
God's creature Vs Man made haviwezi kulingana kamwe kwa ladha, uzuri hata mvuto.

Niko radhi kabisa niwe mshamba kukubaliana na huo ujinga wa Wazungu, nimekaa pale [emoji142]
 
Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.

Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.

Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.

Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)

Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz

NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
Umekumbukwa wapi unayo hiyo pesa mkuu, si ukate 1m mahali ugonge bila password
 
Back
Top Bottom