mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Swali fikirishiInakua ina utelezi pia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali fikirishiInakua ina utelezi pia?
Ndio.Atakuwa na utelezi?😅🏃🏃🏃
Mazungu ndiyo mashetani yenyewe sasa, inamaana Dada zetu tuliowalea katika maadili mema watapelekewa vipi moto na watazalishwa vipi bila ndoa?Million 73 bongo unakula mbususu origini zenye matako makubwa mpaka uchoke mwenyewe! Wazungu ni wapumbavu
Tatizo duniani mazuzu ni wengi sana ndiyomaana hizo k feki zitapata Wateja, mi Ke OG akiweka tu mawigi hata sivutiwi naye, sembuse hizo Pisi Kali feki?Hatimae ombi lenu limekubaliwa. Ss amtatengenezewa mke kulingana na mahitaji yenu[emoji1787][emoji1787]
Ila msije tu kusema mmemiss kero zetu.
Kumbe we ni Me?Mbona Hana Trako..
Mm nitaweka order, wanitengenezee ninae mtaka.. Size ya Trako itazingatiwa
Hela yako tu unatengenezewa unavyotaka.Tatizo duniani mazuzu ni wengi sana ndiyomaana hizo k feki zitapata Wateja, mi Ke OG akiweka tu mawigi hata sivutiwi naye, sembuse hizo Pisi Kali feki?
Mwache Kaka yangu akulee kwa uzuri wa kipekee usimchanganye kabisa na hayo mapepo ya kuzimu [emoji51]ERoni ukuje hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ghafla linakupiga shoti kisha linakupelekea moto kwenye puru lako kupitia vidole vyake bandia [emoji847]Yani badala ya hips na mzigo ndo nishike hayo machuma?? Hata wakiweka ngoz mzigo OG ni OG mazee sijashawishika, na likikupiga shoti katikati ya mjegejo? Me bado team human mbususu sanaa
Kabisa, Lucifer atakuwa alipandikiza mbegu zake miilini mwao, ukijagundua uchafu anaoufanya huyo BG nnje ya pazia ni hatari kuliko hata Boko Haram [emoji57][emoji848]Kuna watu wanaonekana kama watu kama sisi lakini kusema kweli ni mapepo yaliyovaa mwili wa binadamu! Nina wasi wasi mkubwa sana na watu kama Elon Musk, Bill Gates kama ni watu wa kawaida!
Ripoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084
God's creature Vs Man made haviwezi kulingana kamwe kwa ladha, uzuri hata mvuto.Hela yako tu unatengenezewa unavyotaka.
Kwani nakatazwa kuweka picha ya mke wangu..?Kumbe we ni Me?
Unawekaje profile picture "PP" ya kike ilihali we ni Me?
Umekumbukwa wapi unayo hiyo pesa mkuu, si ukate 1m mahali ugonge bila passwordRipoti zinasema kwamba Elon Musk na kampuni yake wako kwenye hatua za mwisho za kutengeneza Mke wa Roboti.
Mke wa Robot atatumia betri ambazo hudumu kwa mujibu wa mzunguko wa hedhi. Betri zitachajiwa kwa siku tatu kamili pekee na kufanya kazi kwa mwezi mmoja.
Kufanya mapenzi na Mke wa Roboti itahitaji Nenosiri, Mchoro au Alama ya Kidole ili kuepuka kukasirika.
Bei ya Mke Roboti itagharimu kuanzia Dola $32,000(Tsh.Milion 75.3) mpaka Dola $79,000(Tsh.Milion 186..)
Mke Roboti anategemewa kuingia sokoni September 2023 na mpaka kufikia Afrika inategemewa kuingia November 2023.
Source: Mula star newz
NB: wale introverts hatimaye tumekumbukwa[emoji23][emoji23]View attachment 2625084