Elshamah Washira mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka nchini Kenya anayetia mashaka kutokana na tabia zake

Elshamah Washira mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka nchini Kenya anayetia mashaka kutokana na tabia zake

Mr Why

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2019
Posts
2,235
Reaction score
4,252
Waimbaji wa nyimbo za Injili waendelea kuchafua tasnia ya nyimbo za Injili kwa kuharibikiwa kila kukicha hasa katika maswala ya ngono Tata

Hivi karibuni tumesikia mwimbaji wa Injili Martha Mwaipaja katika sakata lake la kujihusisha na uchafu wa ngono tata zisizohusisha jinsia mbili tofauti kwa madai ya kuwa anaishi na binti mdogo kwa lengo la kukidhi haja zake

Nchini Kenya anatokea mwimbaji wa kiume mwenye tabia za kike zinazowapa watu maswali mengi yasiyo na majibu

Hii ni dhahiri kuwa baadhi ya waimbaji wa gospel wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na wala hawana jicho la aibu kwa Mungu wanayejifanya wanamtumikia

Ushahidi wa kashfa hii unapatikana katika channel yamwimbaji huyu


View: https://youtu.be/acocLhPZ9M0?si=W5UVqKbYp_S_7WYz
 
Men have larger vocal cords, which gives them deeper voices
Wanaume wana nyuzi kubwa zaidi za sauti, ambazo huwapa sauti za ndani zaidi
 
Hee. Hatari
IMG-20241218-WA0026.jpg
 
Waimbaji wa nyimbo za Injili waendelea kuchafua tasnia ya nyimbo za Injili kwa kuharibikiwa kila kukicha hasa katika maswala ya ngono Tata

Hivi karibuni tumesikia mwimbaji wa Injili Martha Mwaipaja katika sakata lake la kujihusisha na uchafu wa ngono tata zisizohusisha jinsia mbili tofauti kwa madai ya kuwa anaishi na binti mdogo kwa lengo la kukidhi haja zake

Nchini Kenya anatokea mwimbaji wa kiume mwenye tabia za kike zinazowapa watu maswali mengi yasiyo na majibu

Hii ni dhahiri kuwa baadhi ya waimbaji wa gospel wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja na wala hawana jicho la aibu kwa Mungu wanayejifanya wanamtumikia

Ushahidi wa kashfa hii unapatikana katika channel yamwimbaji huyu


View: https://youtu.be/acocLhPZ9M0?si=W5UVqKbYp_S_7WYz



Sijaelewa uyu msichana au mvulana?😁
 
Back
Top Bottom