Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

Fafanua anko alimpendaje huyu dada
 
Kuna tetesi kuwa ilikuwa mojawapo ya "straw company" ya kitengo chetu pendwa.
 
Hivyo vyote ni kumbukumbu ya ubaya wa ujamaa? Serikali haiwezi kumiliki biashara. Watafaidika wachache wanaoziendesha.
 
Serikali ibaki kutoa huduma tu biashara haiwezi.
 
Umeshaambiwa ilinunuliwa na wamiliki wa wet n wild
Tungempata huyo mmiliki wa sasa na kwa nini hapaendelezi, alinunua mwaka gani kwa kiasi gani cha pesa - ingetusaidia sana kupata pa kuanzia.
 
Nasubiri nione Ngorongoro mountain lodge itaangukia wapi?.
Kuna wakati ilitekwa pia, baada ya media kuhoji sana ilidaiwa kuridishwa lakini hakuna ushahidi.
 
Tungempata huyo mmiliki wa sasa na kwa nini hapaendelezi, alinunua mwaka gani kwa kiasi gani cha pesa - ingetusaidia sana kupata pa kuanzia.
Ukitaka kupata undani wa Embassy Hotel ingia kwa gia ya kutaka kuwekeza hapo, anzia TIC.
 
Silver sand hotel nayo imebaki magofu ya wavuta bangi.
Ilaaniwe serikali ya CCM.
 
Kuna wakati ilitekwa pia, baada ya media kuhoji sana ilidaiwa kuridishwa lakini hakuna ushahidi.
Bado ipo mikononi mwa serikali ila ni dhoofu, but kiukweli ile hoteli is one of the best hotel iliyopo eneo lile ndiyo mwana mapaka wana dondosha udenda.

Yule jirani yake pale anaroom mpaka 10mil per night ila kwa ustadi hii yetu bado ipo matawi.
 
Bado ipo mikononi mwa serikali ila ni dhoofu, but kiukweli ile hoteli is one of the best hotel iliyopo eneo lile ndiyo mwana mapaka wana dondosha udenda.

Yule jirani yake pale anaroom mpaka 10mil per night ila kwa ustadi hii yetu bado ipo matawi.
Ile hotel ya Ngorongoro ilijengwa kwa mbinde enzi za Nyerere, kulikuwa na upinzani mkubwa wa wanamazingira wakati huo kuwa uwepo wa hoteli ya kitalii mbugani utakuja kuathiri bioanuai ya viumbe. Ukilinganisha nguvu iliyotumika kuitetea mpaka ikajengwa na ufanisi na mapato yatokanayo na mradi ni viwili tofauti....
 
Hivyo vyote ni kumbukumbu ya ubaya wa ujamaa? Serikali haiwezi kumiliki biashara. Watafaidika wachache wanaoziendesha.
Mkuu hiyo hotel haikufa enzi za umiliki wa serikali enzi za ujamaa.
Tatizo limeanza baada ya kukataa ujamaa na serikali kujitoa umiliki kwa kuuza hisa zake.
Tatizo ubinafishaji unao ushabikia.
Sijui kama umesoma maoni ya watu shida ni nini hadi ikafungwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…