Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Mkuu, Embu Twende tu kimahesabu ya kawaida kabisa ya darasa la Saba

Fanya hivi, CCM inawanachama na wapiga Kura, wanaolipia uanachama wao Kwa mwaka ni watu 14m+

Okey, Fanya wale ambao wataasi kuipigia Kura CCM pamoja na wale wanachama haohao ambao hawakujiandikisha wawe idadi ya M.4+, maana yake, wale wanachama M.10 ndio wawe wamejiandikisha na ndio watakaoipigia Kura CCM, Kati ya wapiga Kura wote nchini 29m+

Maana yake idadi ya wanaobaki 19m+ ndio pengine kuna wanachama wa Chadema m6+ hivi mfano, nao sio wote watakuwa wamejiandikisha, na sio kwamba wote hakuna wataoisaliti Chadema,

Idadi inayobaki ya wanabakia ni 13m+, ndio hao Vyama vinaingia kuwashawishi ili wawapigie Kura wagombea hao

Sasa Fanya hivi tena, Kampeni za CCM Kwa siku moja pengine zinawafikia watu laki tano tu katika kila mkoa wanakofanyia Kampeni, kuanzia Mgombea Uraisi, waziri mkuu, wabunge na madiwani kote nchini

Chukua hiyo idadi uzidishe Kwa siku zote za uchaguzi, Utaona kwamba, CCM itakuwa imewafikia watu zaidi ya m.30+ ukiondoa idadi ya watu ambao Wapo kibindoni kuipigia Kura CCM hata wasposikia Sera za ccm, wale wanachama m.10 wa uhakika

Sasa utaona kwamba, Kati ya watu watakaofikiwa na CCM hao therathini M. Fanya tu Hesabu za kawaida kabisa, yaani useme tu, Kati ya hao, CCM iwashawishi wapigakura wapya M7+ Tu ,Kati ya wapiga kura ambao hawako CCM Wala Chadema

Utaona kwamba, tayari CCM itakuwa inajumla ya idadi za Kura zisizopungua M17+ Kati ya wapiga Kura wote M29+, idadi ya wapiga Kura waliobaki ambao Chadema na Vyama vingine vitawashawishi ni M6+ Baada ya kuwaondoa wanachama wa kudumu wa CCM ambao ni M10, na Chadema wanachama M6


Huoni kwamba CCM itakuwa na idadi nyiiingi za Kura M17+ isiyofikiwa na Chama chochote?
Uko na uhakika hao wanachama wataipigia kura CCM pia hakuna ambao wamekumbana na mambo ya vyeti feki, na wale wa UDOM kuitwa vilaza na mambo mengine kadha wa kadha hivi mnawaza kwamba wao ni waaminifu kwa kiwango cha SGR au mbona 2015 wapiga kura hawakuzidi 8 million hizi takwimu mnapata wapi za wanachama millioni kumi..
 
Sababu ni magufuli kutoa tamko la kukataza uagizwaji wa sukari kutoka nje??? Sasa huyo ndo anafaa kuwa kiongozi au ni takataka???
Jipime kwanza kama akili ni ya mtu mzima au chekechea kutoa jibu hilo likishia na dharau. Shame upon youm
 
Kama kigezo ni kujaza watu ndio ushindi, basi, Magufuli ni mshindi wa Kura mara nne zaidi ya mpinzani wake mkuu
 
Mpaka muda huu, bado sjaona kigezo chochote wanachotumia Chadema kusema eti kitashinda
 
Unajua mkuu, najitahidi sana kufuatilia Kampeni hizi, mwitikio wa watu, ukipima vizuri ukaondoa mihemko ya ushabiki wa vyama, utagundua kabisa, hata mwitikio wa watu Kwa mgombea Uraisi Chadema, unafanana Tu na mwitikio wa watu kwenye mikutano anayoendesha waziri mkuu
Pamoja na yote,kwa kile ninachokiona kwa Lisu,kila kitu kiko kwake na sion chama.
Ukimsikiliza ni kuhusu kinamhusu yeye tu.
Amepigwa risasi yeye.
Ana kesi sita kisutu yeye.
mahakama ya kisutu ni ya kihistoria
Mwl Nyerere alifikishwa mahakama ya Kisutu akishitakiwa kwa uchochezi
Lissu amashitakiwa kwa uchochezi katika mahakama ya Kisutu
Hii hali ya yeye kujilinganisha na Nyerere au kupitia njia ya Nyerere,inashangaza.
 
Pamoja na yote,kwa kile ninachokiona kwa Lisu,kila kitu kiko kwake na sion chama.
Ukimsikiliza ni kuhusu kinamhusu yeye tu.
Amepigwa risasi yeye.
Ana kesi sita kisutu yeye.
mahakama ya kisutu ni ya kihistoria
Mwl Nyerere alifikishwa mahakama ya Kisutu akishitakiwa kwa uchochezi
Lissu amashitakiwa kwa uchochezi katika mahakama ya Kisutu
Hii hali ya yeye kujilinganisha na Nyerere au kupitia njia ya Nyerere,inashangaza.
Kampeni zake zinachosha Sana kusikiliza,
 
JPM hajui kujenga hoja, hana sera mpya hajui kuomba kura kulingana nawakati hana washauri kwa 70% JPM hawezi kushida hu uchaguzi, wind of change has arrived in Tz kubali au kataa yetu macho.
Magufuli ana siasa za kutenda sio siasa za maneno sasa wewe endelea kufurahia maneno matupu watanzania wanataka vitendo
 
Pamoja na yote,kwa kile ninachokiona kwa Lisu,kila kitu kiko kwake na sion chama.
Ukimsikiliza ni kuhusu kinamhusu yeye tu.
Amepigwa risasi yeye.
Ana kesi sita kisutu yeye.
mahakama ya kisutu ni ya kihistoria
Mwl Nyerere alifikishwa mahakama ya Kisutu akishitakiwa kwa uchochezi
Lissu amashitakiwa kwa uchochezi katika mahakama ya Kisutu
Hii hali ya yeye kujilinganisha na Nyerere au kupitia njia ya Nyerere,inashangaza.
ila anasahau kuwa nyerere hakuwai kuwa kibaraka wa wazungu
 
JPM hajui kujenga hoja, hana sera mpya hajui kuomba kura kulingana nawakati hana washauri kwa 70% JPM hawezi kushida hu uchaguzi, wind of change has arrived in Tz kubali au kataa yetu macho.
Halafu ndiye atakayepewa Nchi kuiongoza tena na wananchi waliowengi ukiwaondoa wachache hasa wanaoishi Mitandaoni!
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Maisha magumu ya makundi yote ya wapiga kura:

1. Wafanyakazi
2. Wafanyabiashara
3. Wahitimu wa vyuo vikuu
4.Wakulima
5. Wafugaji
6. nk
 
Pia sera zake zina mashiko sana kwa hayo makundi yake yote.

Lakini pia hata makada, wahanga wa awamu ya 5 watampigia kura.
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Waache wajidanganye wapinzani wanashindw akutumia mbongo zao jmn... Watanzania tukisikia mlio tunaenda hukohuko kuangalia hata tukisikia kuna mchawi kakamatwa tunaenda kuangalia sasa kama alidhanu watu wanaenda kisa wanampenda pole yake hatapata kura watu wanaenda kuangalia kama kwel anaonekana alipigwa risasi maan anajifanya victim anawafanya watanzania wamuonee huruma hivi hajui tulivyo wajumbe au anasikia au kaka nchi za kigeni katusahau.
 
Kwani CCM imewahi kushinda zaidi ya hili mbeleko la chuma a.k.a tume ya ccm a.k.a wapiga kampeni wa ccm tunalo liona wazi wazi
Hapa inabidi mseme ni kwa njia zipi mtatumia kushinda
Mfano: Ccm inawanachama 14.million na wapiga kura ni milioni 29 sasa . kwahiyo tayari tunakula 14m kabla ya kampeni .
Je chadema mmnatumia kigezo gani ?
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?

mshindi mmoja tu......hata kwa penati au bao la mkono
 
View attachment 1583851

Wapiga kura wa CCM wakielekea samora

CCM inakatisha masomo wanafunzi na kuwavalisha hayo majezi ya kijani
Hao ni wapiga kura ni
wanahamasa na ni vijana ambao wanajaki ya kwenda kusikila kinacho nadiwa kwa maslahi mapana ya faida yao kama kizazi konachofata kumuka wapiga kura ni million 29 na kati ya hao 15million ni vijana.
 
Hapa inabidi mseme ni kwa njia zipi mtatumia kushinda
Mfano: Ccm inawanachama 14.million na wapiga kura ni milioni 29 sasa . kwahiyo tayari tunakula 14m kabla ya kampeni .
Je chadema mmnatumia kigezo gani ?
Mkuu, wakikupa jibu, njoo nitakutupia vocha ya 100/ ya Mia moja tu, Kwa sababu najua pia wewe Huna uhitaji
 
Back
Top Bottom