Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

CDM imetumia kigezo kipi kuwaengua wagombea zaidi ya 1000 wa Udiwani??
 
Mkuu umemaliza yote!

Kuna jamaa mmoja yuko humu anatumia ID ya tindo, yeye huwa anahoja sana ila siku ile selikali imetangaza siku za watu kwenda kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura yeye alikuwa anakejeli na kupinga kwamba huo ni ujinga kwenda kupoteza muda huko.
. Kuna siku Mbowe alisema chadema nendeni kuboresha taarifa zenu, huyu jamaa akamkejeli Mbowe kwamba wataenda wajinga ila wenye akili hawana huo muda. Cha ajabu sana leo nae anashangilia Lisu atashinda.
Hata wenyewe wanajua hicho ndio kitakachowaangusha, lakini ukiwaambia wanasema eti "safari hii watapata kura nyingi sana kutoka kwa wana CCM waliomchoka JPM" sijui wanatumia vigezo gani kujua kuwa wana CCM wamemchoka Magufuli
 
CDM imetumia kigezo kipi kuwaengua wagombea zaidi ya 1000 wa Udiwani??
Hawakujaza fomu Sawa na ilivyotakiwa ukilinganisha na wenzao ambapo kabla ya kuijaza fomu, CCM huandaa semina kuhusu kujaza fomu, ama kutumia usaidizi wa wanasheria wa Chama Chao kujaza fomu za uchaguzi
 
Mkuu, asante Kwa swali zuri, Ingawa si kila mtu akitoa mchango unaoegama upanda wa Chama Fulani basi anakuwa ni wa Chama hicho

Wengine ni wafuasi wa mtu makini, watu wengine wanaamini mabadiliko katika mtu makini na mwenye Nia ya dhati, mtu makini aweza Kutokea Chama chochote, sasa Usiwe na muono wa jumla

Jibu la swali lako mkuu ni kwamba, CCM wanasema, inawachama zaidi ya m.14 mpaka sasa, ikiwa ni hivyo, labda uchukulie kwamba, Kati ya hao 14m ambao wamejandikisha ni 10m

Na idadi ya waliojiandikisha ni m29+ kupiga Kura nchi nzima, sasa ukitoa idadi ya wanachama wa CCM, unaona kunabakia idadi ya 19m+

Kati ya hao, CCM ipate tu watu wapiga Kura watakayoipigia kutoka idadi hiyo kama m7 kando na wapiga Kura wanachama wa CCM ambao ni uhakika, huoni kwamba tayari itakuwa na Kura M.17 na Vyama vingine vikibakiwa na idadi ya wapiga Kura 12m+ na hapo bado kuna wale ambao hawatapiga Kura Kwa sababu za hapa na pale mkuu,

Je ninyi, mnstumia Hesabu na kigezo kipi mkuu kujiaminisha kuwa mtashinda?
Si kila aliyemwana-CCM basi atakipigia kura chama chake (CCM). Wengine ni wana-CCM lakini kura zao kwa wapinzani.
Alafu hizo takwimu za uwingi wa wanachama kwa CCM zimekuwepo tangu na tangu, lakini HAKUNA Mgombea uraisi kwa tiketi ya CCM aliyewahi zidi ushindi wa kishindo kwa zaidi ya 85%.
Ila kwa Mwaka huu naona twakimu za ushindi zilishatengenezwa ili kuweka record mpya kwa Magufuli kama ndiye "Alfa Na omega".
 
Unajua mkuu, najitahidi sana kufuatilia Kampeni hizi, mwitikio wa watu, ukipima vizuri ukaondoa mihemko ya ushabiki wa vyama, utagundua kabisa, hata mwitikio wa watu Kwa mgombea Uraisi Chadema, unafanana Tu na mwitikio wa watu kwenye mikutano anayoendesha waziri mkuu
Mama Samia, waziri mkuu wanajaza hata kuliko Lissu. JPM ndio balaa, watu mpaka wanataka kubebena vichwani. Mbowe, chama chako bado hakijaiva aisee.
 
Wanakwambia"watu wamelala barabarani ili Lissu asimame aongee wamsikie, kweli Lissu ni Rais", yani kwa watu kulala barabarani basi ndo kigezo cha Lissu kushinda urais.Chadema ndo matahira kweRi kweRi.
2015, watu walilala mpaka nje, walideki barabara, ili kipenzi chao lowasa apite na bado mliambulia upepo na kuzungusha kote mikono kule. Watanzania watawapa fundisho la karne mpaka vichwa vyenu vizime data. JPM tano tena.
 
Kigezo cha ccm kujaza wanafunzi kwenye mikutano yao
 
Kigezo Cha kuhongwa bajaji, bodaboda, mikopo na nguo sehemu walipochagua upinzani hata wewe utachagua upinzani ili uendelee kulipwa kupondea upinzani.
 
Kwenye suala la uanachama wa ccm Mimi na watu kadhaa kwny familia yangu tunazo kadi za ccm lakini hatutoipia kura kwa jinsi ilivyotutenda direct kupitia mwanafamilia mmoja,Sasa jiulize wanachama kama Mimi wako wangapi kwa vigezo vya;
1.wenye watoto waliosoma na hawajaajiriwa
2.waliotumbuliwa vyeti feki
3.waliobomolewa nyumba zao
4.ndugu zao waliobambikiwa kesi na kufungwa
5.waliokatwa kura ya maoni hata baada ya kuongoza kura za maoni
6.watumishi ambao wamepokwa haki yao ya nyongeza ya mshahara wa kila mwezi na madaraja
Hao wote wana familia,ndugu,jamaa na marafiki wanaonufaika kupitia wao
##october tuna Jambo letu##
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Shetani ni baba wa uwongo..14+ watoke wapi..wanatengeneza njia ya kuiba kura..pita mtaani waulize vijana kumi utapata jibu
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Kigezo wanachotumia ni kile cha kawaida cha ubinadamu - KUJIPA MOYO NA MATUMAINI!
 
Research umefanya wapi kwamba CCM wamejiandikisha mimi naenda na napigia kura CHADEMA asubuhi na mapema
Mkuu, Embu Twende tu kimahesabu ya kawaida kabisa ya darasa la Saba

Fanya hivi, CCM inawanachama na wapiga Kura, wanaolipia uanachama wao Kwa mwaka ni watu 14m+

Okey, Fanya wale ambao wataasi kuipigia Kura CCM pamoja na wale wanachama haohao ambao hawakujiandikisha wawe idadi ya M.4+, maana yake, wale wanachama M.10 ndio wawe wamejiandikisha na ndio watakaoipigia Kura CCM, Kati ya wapiga Kura wote nchini 29m+

Maana yake idadi ya wanaobaki 19m+ ndio pengine kuna wanachama wa Chadema m6+ hivi mfano, nao sio wote watakuwa wamejiandikisha, na sio kwamba wote hakuna wataoisaliti Chadema,

Idadi inayobaki ya wanabakia ni 13m+, ndio hao Vyama vinaingia kuwashawishi ili wawapigie Kura wagombea hao

Sasa Fanya hivi tena, Kampeni za CCM Kwa siku moja pengine zinawafikia watu laki tano tu katika kila mkoa wanakofanyia Kampeni, kuanzia Mgombea Uraisi, waziri mkuu, wabunge na madiwani kote nchini

Chukua hiyo idadi uzidishe Kwa siku zote za uchaguzi, Utaona kwamba, CCM itakuwa imewafikia watu zaidi ya m.30+ ukiondoa idadi ya watu ambao Wapo kibindoni kuipigia Kura CCM hata wasposikia Sera za ccm, wale wanachama m.10 wa uhakika

Sasa utaona kwamba, Kati ya watu watakaofikiwa na CCM hao therathini M. Fanya tu Hesabu za kawaida kabisa, yaani useme tu, Kati ya hao, CCM iwashawishi wapigakura wapya M7+ Tu ,Kati ya wapiga kura ambao hawako CCM Wala Chadema

Utaona kwamba, tayari CCM itakuwa inajumla ya idadi za Kura zisizopungua M17+ Kati ya wapiga Kura wote M29+, idadi ya wapiga Kura waliobaki ambao Chadema na Vyama vingine vitawashawishi ni M6+ Baada ya kuwaondoa wanachama wa kudumu wa CCM ambao ni M10, na Chadema wanachama M6


Huoni kwamba CCM itakuwa na idadi nyiiingi za Kura M17+ isiyofikiwa na Chama chochote?
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?
Yani kabisa unamsikiliza huyo polepole aka alsahaf wa cxm?
 
Nilipoona tu hapo kuwa CCM ina wanachama 14m+ nikajua bandiko lote ni upuuzi mtupu. Magufuli ni bingwa wa kupika data, nakumbuka ule utapeli wake wa kutaja idadi ya samaki na mayai yake wakati akiwa waziri. Uhuni wa kitoto ile mbaya.
 
Back
Top Bottom