Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Umejibu vizuri bila mihemko kama ya wenzio, lakini msijipe matumaini kuhusu hilo mkuu wana CCM wanakuwaga wamoja sana kwenye kipindi cha kampeni
Huo umoja ni wakinafiki 2 cz wanajua wasiposapoti baada ya uchaguzi wanaweza kutengwa na chama wasipate fursa za kijamii like ajira za watoto wao, vimikopo etc ila ndani ya mioyo yao wamekata tamaa na chama
 
Nilipoona tu hapo kuwa ccm ina wanachama 14m+ nikajua bandiko lote ni upuuzi mtupu. Magufuli ni bingwa wa kupika data, nakumbuka ule utapeli wake wa kutaja idadi ya samaki na mayai yake wakati akiwa waziri. Uhuni wa kitoto ile mbaya.
Mkuu tupe data, chadema inatumia kihezo gani kwamba itashinda urais?
 
Nilipoona tu hapo kuwa ccm ina wanachama 14m+ nikajua bandiko lote ni upuuzi mtupu. Magufuli ni bingwa wa kupika data, nakumbuka ule utapeli wake wa kutaja idadi ya samaki na mayai yake wakati akiwa waziri. Uhuni wa kitoto ile mbaya.
Kuna vijana waliamini zile namba asee. Samaki milioni 123.9,mayai milioni 700, ndege bilioni 3, ng'ombe, mbuzi kuku,bata milion 986
 
Kuna vijana waliamini zile namba asee. Samaki milioni 123.9,mayai milioni 700, ndege bilioni 3, ng'ombe, mbuzi kuku,bata milion 986

😁😁😁, Magufuli kweli alikuwa anatumia sisi ni vilaza wenzake.
 
Mkuu tupe data, chadema inatumia kihezo gani kwamba itashinda urais?
Kwa uhalisia tu kama Magufuli kaharibu kwa wakulima, wafanyabiashara, vijana na wafanyakazi ambayo ndo makundi makuu yaliyopo nchini Je kuna haja ya kuuliza kwa vigezo gani CHADEMA itashinda mwaka huu??
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha
kigezo cha kujazana kwenye social networks watashinda vinginevyo ndoto na uchuro
 
Hali ngumu ya maisha mitaani kwa sasa wakati tuna uchumi wa kati
 
Kwa uhalisia tu kama magufuli kaharibu kwa wakulima, wafanyabiashara, vijana na wafanyakazi ambayo ndo Makundi makuu yaliyopo nchini Je kuna haja ya kuuliza kwa vigezo gani Chadema itashinda mwaka huu??
Je, CHADEMA tangu kisajiriwe, viongozi wake wamefanya nini la kitaifa, ili waaminiwe kupewa ridhaa ya kuongoza nchi hii? Hao viongozi wapinga kila kitu? Hao viongozi wanaotafuta madaraka kwa lugha ya hadaa na kufitinisha Serikali na wananchi? Ati "Uhuru na Haki"?

Wapi sauti ya maskini husikika au kusikilizwa? Km mke tajiri hamsikilizi mme maskini, au mme tajiri humfanya mje kijakazi. Huo ndiyo uhalisia katika maisha. Mwenye nguvu mpishe.

Tunahitaji maendeleo ili kila mwananchi awe na nguvu kiuchumi. Ikifikia hapo, sauti ya kila Mtanzania itasikika au kusikilizwa.

WATANZANIA HAWADANGANYIKI, ila fisi wa madaraka watasubiri sana huo mkono wa madaraka udondoke wanyang'anyane. Na kama hujui, huko CHADEMA ni mashindano na mvurugano kuwa karibu na mgombea Urais wakiamini ndoto ya utawala wa nchi hii itakuwa kweli
 
Je, CHADEMA tangu kisajiriwe, viongozi wake wamefanya nini la kitaifa, ili waaminiwe kupewa ridhaa ya kuongoza nchi hii? Hao viongozi wapinga kila kitu? Hao viongozi wanaotafuta madaraka kwa lugha ya hadaa na kufitinisha Serikali na wananchi? Ati "Uhuru na Haki"?

Wapi sauti ya maskini husikika au kusikilizwa? Km mke tajiri hamsikilizi mme maskini, au mme tajiri humfanya mje kijakazi. Huo ndiyo uhalisia katika maisha. Mwenye nguvu mpishe.

Tunahitaji maendeleo ili kila mwananchi awe na nguvu kiuchumi. Ikifikia hapo, sauti ya kila Mtanzania itasikika au kusikilizwa.

WATANZANIA HAWADANGANYIKI, ila fisi wa madaraka watasubiri sana huo mkono wa madaraka udondoke wanyang'anyane. Na kama hujui, huko CHADEMA ni mashindano na mvurugano kuwa karibu na mgombea Urais wakiamini ndoto ya utawala wa nchi hii itakuwa kweli
Kwani TANU kabla ya Uhuru ilifanya nini hadi watanzania wakaiamini kwenye kuipa uongozi???

Maendeleo yapi unayasema wakati Magufuli alikuta sukari inauzwa 1800 saivi tunanunua 2800-3000??
 
Moja kwa moja hojani,

Kwa mjibu wa website ya CCM, na Kwa mjibu wa kauli ya mwenezi wa CCM ndugu Hamphuley Polepole, CCM inawanachama wa kudumu M.14+
Na kikawaida, ili uwe mwanachama wa Chama chochote, maana yake uwe umefikia umri wa miaka 18+

Na kwa idaadi ya waliojiandikisha kupiga Kura nchi nzima ni M.29+

Kama ndio hivyo, maana yake CCM, Kati ya wapiga Kura M.29+ CCm inamtaji wa nusu ya wapigakura wote ikiwa wote watakuwa wamejandikisha na kuipigia Kura CCM siku ya uchaguzi

Sasa basi, Ni Kwa namna Ipi Chadema wataishinda CCM?

Let go...

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?

Je, ni kwa sababu ya mwitikio wa watu kwenye Kampeni za mgombea wa Chama chao?

Je, ni kwa sababu ya kuhesabu uwingi wa washabiki na wachangiaji kupitia Mitandao ya kijamii?

Je, ni kwa sababu mgombea wa Chama hicho anajua sana sheria?

Je, ni kwa sababu mgombea wake anafahamiana na kujulikana na viongozi wa mataifa mengi duniani

Ni kwa sababu zipi haswa hawa Chadema kujiaminisha kuwa watashinda uchaguzi huu?

Kama ni Kwa sababu ya watu wengi kujaa katika mikutano yake, mbona hata haifikii uwingi wa watu wa mgombea na mpinzani wake Kutokea CCM?

Mbona Mikutano yake na jinsi watu inavyo jaa, ni kama Tu Ile mikutano anayoifanya waziri mkuu Majaliwa?

Mitaani watu wengi ukiwahoji, wanasema kwamba, Mgombea uriais kupitia Chadema, atashindana, lakini kushinda atashinda wa CCM

Nimalizie kwa kuuliza, je, ni kwa kigezo kipi kinachowapa wanachadema waseme Chama Chao kitamwangusha Magufuli?





Usibishane na vichaa! Majani ya Arusha yapo kochwani
 
Ukweli ni kuwa hakuna mwenye asilimia 100 ya kushinda au kushindwa; na ndiyo maana ya uchaguzi. Idadi ya wanachama si kigezo kikubwa sana maana hiyo idadi kuna wanachama hewa, pia hiyo idadi anaitamka yeye; unafikiri atasema ana wanachama milioni moja!!. Pia si lazima kila mwanachama wako akupigie kura, maana kuna watu wengine wana kadi za chamacha (iwe CHADEMA au CCM) kimkakati tu.
Utakumbuka kuna mtu aliwahi kusema ukitaka biashara yako ishamiri pandisha bendera!
 
Kwani TANU kabla ya Uhuru ilifanya nini hadi watanzania wakaiamini kwenye kuipa uongozi???

Maendeleo yapi unayasema wakati Magufuli alikuta sukari inauzwa 1800 saivi tunanunua 2800-3000??
Kwa majibu ya aina hiyo najiuliza kiwango cha uwezo wako wa kuchambua masuala. Unadokoa vijimambo visivyo hoja.

Kama hujui, basi nikwambie umaskini wetu ndio unatufanya tusiwe na sauti juu ya bei ya bidhaa na mazao yetu vivyo hivyo kwa bidhaa tusizozalisha.

Unajua fika kuwa tajiri haguswi. Uhuru na Haki za maskini hukanyagwa na tajiri. Lakini Mgombea Urais unayemsujudu anahubiri Uhuru na Haki wakati akitaka nchi iendelee kuwa tegemezi, nawe unaona hiyo ndiyo Sera.

Upumbavu na Ulofa uliokubuhu
 
Kwa majibu ya aina hiyo najiuliza kiwango cha uwezo wako wa kuchambua masuala. Unadokoa vijimambo visivyo hoja.

Kama hujui, basi nikwambie umaskini wetu ndio unatufanya tusiwe na sauti juu ya bei ya bidhaa na mazao yetu vivyo hivyo kwa bidhaa tusizozalisha.

Unajua fika kuwa tajiri haguswi. Uhuru na Haki za maskini hukanyagwa na tajiri. Lakini Mgombea Urais unayemsujudu anahubiri Uhuru na Haki wakati akitaka nchi iendelee kuwa tegemezi, nawe unaona hiyo ndiyo Sera.

Upumbavu na Ulofa uliokubuhu
Unajua sababu ya bei ya sukari kupanda kutoka 1800-2800/3000 ilikuwa nini???
 
Back
Top Bottom