Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Kuwa mwanachama haina maana utapigia kura ccm
 
Bado sana mkuu, bado hatujapata upinzani wa watu wenye akili timam ambao tunaweza sema tujaribu kuwapa nchi.
Hao wenye akili wakoje na wapo wapi?
Pema usijapo pema ukipema si pema tena
Ukweli ccm ukweli mnaujua ndiyo maana mmepoaaaa!!
 
Wanakwambia"watu wamelala barabarani ili Lissu asimame aongee wamsikie, kweli Lissu ni Rais", yani kwa watu kulala barabarani basi ndo kigezo cha Lissu kushinda urais.Chadema ndo matahira kweRi kweRi.
Matusi mnayaweza siyo hoja
Na hii ni dalili ya kushindwa
 
Hao wenye akili wakoje na wapo wapi?
Pema usijapo pema ukipema si pema tena
Ukweli ccm ukweli mnaujua ndiyo maana mmepoaaaa!!
Nikukumbushe kidogo, kinachomfanya mtu awe kiongozi ni Kura na sio swala la kuchangamka au kupoa.
 
Moja kwa moja hojani,

Mada hii imejikita kutaka kujua ni kwa kigezo kipi Chama cha Chadema kinatumia hadi washabiki na wanachama wake hasa mitandaoni kusema eti kitashinda?...
Hayo ni maswali ya kijinga ya mtu mjinga lazima wa CCM ya wajinga kwa sababu angekuwa na akili hata kidogo tu angeuliza: Je ni kigezo gani kinawapa wanachama wa CCM na viongozi wao kudai kuwa watashinda kati ya Vyama 14 vinavyoshindana.

licha ya kuboronga miaka 5 waliyopewa? Ukijibu swali hili sasa jaribu kujibu maswali yako kwa kuweka CCM badala ya CHADEMA na Lissu badala ya Magufuli.
 
Wanakwambia"watu wamelala barabarani ili Lissu asimame aongee wamsikie, kweli Lissu ni Rais", yani kwa watu kulala barabarani basi ndo kigezo cha Lissu kushinda urais.Chadema ndo matahira kweRi kweRi.
[emoji3][emoji3][emoji3]Umenikumbusha siku EL alipidekiwa barabara
 
Hayo ni maswali ya kijinga ya mtu mjinga lazima wa CCM ya wajinga kwa sababu angekuwa na akili hata kidogo tu angeuliza:
Mkuu, ukiambiwa ukweli utachukia?

Kwa ulichoandika hapa, kinakuonyesha kabisa wewe ni mjinga haswaa, Umeshindwa nini KUELEWA kile CCM kinachowafanya waseme watashinda,

Kwanza, kinawanachama na wapiga Kura 14.M+, idadi ya waliojiandikisha ni 29M+

Kati ya hao, CCM inawatu kinindoni zaidi ya 14.m,ikiwa watu hao wataipigia Kura

Je, Chadema unatumia kigezo gani kusema inashinda?

Uspaniki Mzee, mambo mengine hayahitaji hasira aisee
 
Ukweli lazima usemwe, CHADEMA wana asilimia chache sana za kuibuka na ushindi kwenye kinyang'anyiro hiki...
Mkuu umemaliza yote!

Kuna jamaa mmoja yuko humu anatumia ID ya tindo, yeye huwa anahoja sana ila siku ile selikali imetangaza siku za watu kwenda kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpiga kura yeye alikuwa anakejeli na kupinga kwamba huo ni ujinga kwenda kupoteza muda huko.

Kuna siku Mbowe alisema chadema nendeni kuboresha taarifa zenu, huyu jamaa akamkejeli Mbowe kwamba wataenda wajinga ila wenye akili hawana huo muda. Cha ajabu sana leo nae anashangilia Lisu atashinda.
 
Umenena yaliyonyooka msitari.

CHADEMA ilikuwa na nafasi kubwa kushinda 2015.
√ Mgombea wao Lowassa, alikuwa na bado ana nguvu kubwa kisiasa kuliko Lissu, maradufu;..
Sasa ni 2020 siyo 2015 watu wana machungu ya unyanyasaji uonevu kuwabambikia kesi kupigwa risasi, ufisadi wa trilion 1.5 kisha CAG akatolewa kafara , watu wameamka wanajua haki zao
 
Unafikiri wanakijiji wana huo ujinga wenu wakungojea hela mifukoni?

Tatizo lako upo tu kwa shemeji yako hapo kwa mtogole! Zunguka zunguka nchi hii ni kubwa
 
Yani wewe ndio unataka kura zihesabiwe hadharani!? Kwa sheria ipi?
 
Morali na hamasa waliyonayo mashabiki na wafuasi wa TL ni tofauti Sana na Ile ya washabiki wa CCM. Wafuasi wa CCM wanaonesha kabisa mioyo yao haipo pale, Ila njaa na mabavu ndio yamewafanya wawepo hapo. Molari ya Wafuasi wa TL haijawahi onekana katika chaguzi zilizotangulia. Vijana Wana Power na Confidence Kubwa Sana.
 
Wanachokifanya chadema ni kujidifend ili ata wakishindwa waseme wameibiwa ila ki ukweli hakuna chama kwa Sasa Tanznaia ambacho kinaweza kuipiku ccm
 
kama ina wanachama 14M+ ilikuwaje 2015 CCM ikapata kura 8M na upinzani ukapata 6M?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…