The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hata kama ningekua sifanyi delivery basi ningeanza huu utaratibu leo kwa ajili yako,Niletee basi, au hufanyi delivery?
Niko mihangaikoniiiπππUpo wapi now?job?
Me shida yangu gari tu jirani, kadi kaa nayoSawa jirani, mkataba wa gari ni kwamba kadi inabaki kwa jina langu... until further notice...
Dah! πππ msinijadili mkuu ngoja nitekeleze agizo.binti kiziwi mbona unamtesa kijana wetu? au tuitishe kikao cha dharura sisi wazee wa baraza la nidhamu na maadili ili kujadili hili?
Muhimu sanaπNiko mihangaikoniiiπππ
What's your favorite car?Me shida yangu gari tu jirani, kadi kaa nayo
Safi sana,haya kajekudya kazi imeisha halafu uwe unanipita kwenye kijiwe changu cha mahindi bila hata salamu.Dah! πππ msinijadili mkuu ngoja nitekeleze agizo.
Na wewe?Muhimu sanaπ
Mheshimiwa na wewe upo Jamhuri ukizindua "matokeo" ya sensa? Nimekua interested kufahamu kazi umezikaimisha kwa nani, wewe ukiwa huku unachat?Binti Kiziwi hujaona huu uzi jamani.
Tangu unidanganye juzi umeamua kupotea mzimaππππ
Katakua kanatafuta msosi
Napenda sana pilipili kwahiyo usinipunje weka ya kutosha.Hata kama ningekua sifanyi delivery basi ningeanza huu utaratibu leo kwa ajili yako,
Pilipili unataka ile yakusikilizia kwa mabali au kwa karibu? delivery nilete mimi au nimtume kijana wangu?
Pls nipe jibu kabla mahindi hayajaanza kupoa kwa baridi la hapa.
Njaa inaumaje mwisho wa mwezi...Katakua kanatafuta msosi
Nichagulie ambalo utaona litanifaaWhat's your favorite car?
Nakiri kupokea ujumbe wa Mama. Sema nauli ya kufika huko ndiyo sina na sms haisemi kama kuna perdiemπππππππ.Mheshimiwa na wewe upo Jamhuri ukizindua "matokeo" ya sensa? Nimekua interested kufahamu kazi umezikaimisha kwa nani, wewe ukiwa huku unachat?
Baada ya hapo ndio tuchat... unaweza kujibu hapa au kule.
Ndio nimetoka job nowNa wewe?
nachojua tu Jua ni kali mno π Jioni nipigie au nitext wasapu.Nakiri kupokea ujumbe wa Mama. Sema nauli ya kufika huko ndiyo sina na sms haisemi kama kuna perdiemπππππππ.
Niko huku huku boss wangu. Bila shaka wewe umeshilia bendera hapa
Aah sawa. PoleNdio nimetoka job now
Tumbo linadai haliangalii mwisho wa mweziNjaa inaumaje mwisho wa mwezi...
Hayo ndo maneno Sasa maana juzi ulinipa ahadi hewa. Mpaka nikarudisha nanii kwenye niniiπππππnachojua tu Jua ni kali mno π Jioni nipigie au nitext wasapu.